Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,005
Unaweza kudhani ni maigizo lakini kumbe ndio ukweli wenyewe
Duh......unaweza kudhani ni maigizo lakini kumbe ndio ukweli wenyewe
Binaadamu niwatu waajabu sana wanajifanya kama hawamuoni.....aibu kubwa kwa uongozi huuunaweza kudhani ni maigizo lakini kumbe ndio ukweli wenyewe
Kweli, angalau angelipunguza hii minong'ono.Angeongea tu na kusepa, hata mimi nisingeacha vyangu kuwapa mwanya wezi. Amejitahidi, hongera kwake. Aendelee kitangaza bila kuwaita wamzunguke.
But kwa ujumla hii wala haimsumbui JIWE, kwake hii ni kama amefanikiwa sana katika haja zake. Lakini ukweli kwa wenye mapenzi mema ya nchi yao hili ni tatizo kubwa Sana katika mustakabali wa Taifa na Nchi...unaweza kudhani ni maigizo lakini kumbe ndio ukweli wenyewe
uko sahihi mno ! jamaa hajawahi kuwa na aibu hata chembe !But kwa ujumla hii wala haimsumbui JIWE, kwake hii ni kama amefanikiwa sana katika haja zake. Lakini ukweli kwa wenye mapenzi mema ya nchi yao hili ni tatizo kubwa Sana katika mustakabali wa Taifa na Nchi...
Hahah msela nimemkubali sana.Kuna msela kapita na gunia lake mgongoni mbele yake dah.
Hadi huruma
Salama? Come there, PM