Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,588
- 7,352
Siku zote huwa nasema viongozi boresheni mazingira ya jela Ili kesho muishi vyema jela hamsikii.
Siku zote huwa nasema viongozi boresheni mazingira ya jela Ili kesho muishi vyema jela hamsikii.
Hata Sabaya alikuwa akimtaja sana Mungu..
Hakika cheo ni dhamana. Tumia cheo kutenda haki, tenda kazi ya Mungu.
Hili ni funzo kubwa sana kwa wenzetu mnaoteuliwa na kuchaguliwa. Oneni mwenzenu anavyodhalilika. Hamjachelewa sana,huu ni wakati wa kulia na kutubu hadharani
DuuhHata Sabaya alikuwa akimtaja sana Mungu..
I think hii notion ya Mungu is either misplaced or overrated...
watumishi wafate miiko tu ya kazi zao na mambo yataenda vizuri because ukisoma miiko na maadili ya uongozi, you don't need huyo Mungu....
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Hao wamenunuliwa na chadema waje kuzomea hapo lakini haitawasaidia kitu.
Wakili SI analipwa?Hivi anajitetea mwenyewe au anatumia wakili, huyo wakili atakuwa na kibarua kigumu sana kwa ushahidi ule wa video!
Bado kidogo nawewe utazomewaHao wamenunuliwa na chadema waje kuzomea hapo lakini haitawasaidia kitu.
Nyani ailie fakamia mapera etwangeNani azomee Mwehu?
Huku kalaaniwa
Hakika cheo ni dhamana. Tumia cheo kutenda haki, tenda kazi ya Mungu.
Hili ni funzo kubwa sana kwa wenzetu mnaoteuliwa na kuchaguliwa. Oneni mwenzenu anavyodhalilika. Hamjachelewa sana,huu ni wakati wa kulia na kutubu hadharani
Hata wasipo muua huyu!! atakufa kisaikolojia anajiona hivi polepole!! Huko aliko wamemsaidia sana tena sana!!!! na hata yeye binafsi hatamani kukaa uraiani!! na familia zetu hizi za kiswahili heee!! ndg ndo kabisaa wata mnyanyasa kwanza, bora akitoka huko akae na marafiki!! kwanza huyu anaomba asitoke huko!Na wakijichanganya kumfutia kesi anauwawa mtaani labda akajifiche Libya
Yule mchawi si kitoto sasa wee mtaje taje upinde mavidole yako hapo!! Magu alianza kidoogo!! kumsema sema!! mara asimpe mkono, mara ayaongelee makonteina yake !! jiulize Magu yuko wapi leo??Mmh wabongo waoga mno, bashite mbona bado anadunda?
mwambie akuonyeshe pass yakeMmh wabongo waoga mno, bashite mbona bado anadunda?