Video: Rubani wa Ethiopian airlines aliomba ruhusa kuizunguka mlima Kilimanjaro akapewa

Acha autangaze mlima . Tena ndio wajue vibali viko Tanzania na sio wale majiran zetu wakorofi korofi .
 
Wewe mkuu ni mpanda ndege toka zamani saana, zamani ilikuwa lazima kuuzunguuka nafikiri siku hizi sababu za kiusalama ndio maana hawafanyi hivyo.ila kama hakuna ukungu na muda wa kutuwa ndege bado kidogo siyo mbaya kufanya utalii na hakuna hatari yoyote maana inajulikana kwa vipimo inatakiwa ndege iwe umbali gani.
Ndugu kwanini umefikiri hivyo? mbona zamani ilikuwa kanuni kuzunguka mlima kabla ya ndege kutua? usiwaze mabaya tu ndugu tujisemee mema naiwe baraka kwetu sote.
 
Mkuu 787 dreamliner Ethiopian Airlines kutoka Addis mpaka Johannesburg inayotoka saa moja kule na mchana Jozi wakifika anga la Chuga wanautangaza sana mlima wetu mpaka utafurahi yaani wanatumia muda mrefu kuuzungumzia abiria wote wanahama na kuwa upande unaonekana mlima wakipiga picha nilichogundua huu mlima sisi hatujautangaza kabisa wanaushangaa mlima kuonekana kwenye mawingu harafu sisi tunauchukulia poa...
IMG-20210624-WA0043.jpg
 
Mzuka wanajamvi!

Rubani wa Ethiopian Airlines alipokaribia kutua KIA anga ilikuwa wazi na mawingu hayakuwepo. Akauona Kilimanjaro haraka akawaomba flight controllers KIA wamruhusu auzunguke wakamkubalia nakuwashtua abiria. Ilikuwa furaha kila mtu kwenye ndege ooh my God.

The majestic Kilimanjaro our national pride! View attachment 1906716View attachment 1906713View attachment 1906714
Hongera kwa Kututaarifu kuwa ndiyo kwa mara yako ya Kwanza kupanda Ndege tena ukiwa Ukubwani ( tena Uzeeni ) hivyo.

Kwa wale wa miaka ya late 90's na early 2000 mtakumbuka sana Marubani akina Marehemu Captain Mapunda na Mazura walikuwa wakitupigisha mno Misele hapo Mlimani Kilimanjaro tena tukiwa Wanafunzi ndani ya Ndege za iliyokuwa ATC.
 
Wazo zuri sana hili.

Tupia kapicha nione mwonekano wa hiyo bendera ya JF (kama ipo), na kama haipo ni vyema JF team wakafikilia na kufanyia kazi hili swala la kuwa na Bendera yao.
Kwa Sasa Sina Ila Nina wazo hili la kuwapelekea waiandae Kuna mwezi nataka kwenda kupanda mlima niende nayo
 
Hongera kwa Kututaarifu kuwa ndiyo kwa mara yako ya Kwanza kupanda Ndege tena ukiwa Ukubwani ( tena Uzeeni ) hivyo.

Kwa wale wa miaka ya late 90's na early 2000 mtakumbuka sana Marubani akina Marehemu Captain Mapunda na Mazura walikuwa wakitupigisha mno Misele hapo Mlimani Kilimanjaro tena tukiwa Wanafunzi ndani ya Ndege za iliyokuwa ATC.
Dah kijana wa zamani bana. Nyie ndo wafanyakazi wa ATCL mliofilisi shirika mkawa mnalipwa mishahara tu huku mmening'iniza poumbou sofani ofisini hadi mkastaafu na bado mafao ukapata.
 
Nyie ndo wafanyakazi wa ATCL mliofilisi shirika mkawa mnalipwa mishahara tu huku mmening'iniza.....
Wabongo bhana Yani dogo akifaulu la saba ni freemason, ukifululiza kula nyama kila siku wewe ni freemason!

:D
 
Hongera kwa Kututaarifu kuwa ndiyo kwa mara yako ya Kwanza kupanda Ndege tena ukiwa Ukubwani ( tena Uzeeni ) hivyo.

Kwa wale wa miaka ya late 90's na early 2000 mtakumbuka sana Marubani akina Marehemu Captain Mapunda na Mazura walikuwa wakitupigisha mno Misele hapo Mlimani Kilimanjaro tena tukiwa Wanafunzi ndani ya Ndege za iliyokuwa ATC.
Tunatakiwa tuutangaze Mlima Kilimanjaro kwa nguvu zote ili wakipata mapato ya kutosha huko labda watasahau ishu ya kuja na Tozo kila kukicha ndege ni kitu cha kawaida uwe umepanda enzi za Mwalimu au leo...
 
Dah kijana wa zamani bana. Nyie ndo wafanyakazi wa ATCL mliofilisi shirika mkawa mnalipwa mishahara tu huku mmening'iniza poumbou sofani ofisini hadi mkastaafu na bado mafao ukapata.
Na bado anakuja kujisifia kufirisi kampuni kwa kuzunguka hovyo hovyo..
 
Back
Top Bottom