Video: Rais Magufuli anaposema open space haina maslahi, na kugawa ijengwe hospitali

Taso

JF-Expert Member
Jun 12, 2010
2,463
2,289



Ningehadithiwa bila kuona video ningesema magazeti uchwara yamem quote vibaya, kwa sababu kutokuwepo kwa open space jijini Dar es Salaam ni crisis kubwa sana ya mipango jiji

Natambua Rais amesema eneo alilolitoa kwa taasisi hii ya Kiislam linaenda kujengwa hospitali ambayo itatumika kwa Watanzania wote, wa dini zote na wasio na dini.

Lakini pamoja na kwamba sote tutatibiwa hapo, Rais unaposema open space haina maslahi kwa hiyo naigawa ijengwe kitu chenye maslahi, huyu Kiongozi wetu anafikiria vitu kwa umakini gani?

Hivi Open Space maana yake ni kwamba ni kwamba hakuna kitu cha maana cha kujenga hapo? Hivi ndivyo Rais wetu anavyochambua mambo anapokaa Ikulu?

Na kwamba sehemu nyingine zooooote zimejaa Tanzania nzima za kujenga dispensary akashindwa kuwapa kiwanja huko?

And that is assuming kwamba wanajenga hospitali, manake msemaji wa Waislam kaomba eneo la "kupanua shule yetu ili tuweke form 5 na 6 na mabweni ya Wasichana..."

Rais anakuja dakika tano baadae kusema mmeomba eneo ambalo "mnaenda kujenga nadhani hospitali..." UNADHANI HOSPITALI? Huna hakika?

Seriously hukumsikia Shehe? Kwenye siku ya Qurani tunaweza kujisahaulisha na kupindisha kauli namna hii mbele ya hadhara?
 
Ndo haļi halisi ya viongozi wetu hawana taarifa kwa wanachokiongea, hasara tupu

Nakumbuka Eneo lenyewe ilo nimecheza sana mpira enzi hizo na mpaka sasa watoto huwa wanacheza. Kulikuwa na shule ya inaitwa Nulyakin pembeni kwa sasa ndo hiyo Al Hikma Girls
 
Ndo haļi halisi ya viongozi wetu hawana taarifa kwa wanachokiongea, hasara tupu

Nakumbuka Eneo lenyewe ilo nimecheza sana mpira enzi hizo na mpaka sasa watoto huwa wanacheza. Kulikuwa na shule ya inaitwa Nulyakin pembeni kwa sasa ndo hiyo Al Hikma Girls
Nakubaliana Nawe Hilo Eneo Nami Nimekaa Hadi Leo Watu Wengi Sana Wanafanya Mazoezi
Nulyakini Zamani Kwasasa Imebadilishwa Jina Inaitwa Al Hikma Girl

Zile Ghorofa Pale Ndiyo Za Primary
 
Nakubaliana Nawe Hilo Eneo Nami Nimekaa Hadi Leo Watu Wengi Sana Wanafanya Mazoezi
Nulyakini Zamani Kwasasa Imebadilishwa Jina Inaitwa Alikuwa Hikma Girl

Zile Ghorofa Pale Ndiyo Za Primary
Zile za kule nī nursery na prīmary, huku ndo wqnataka kupanua zaidi naòna wanătaka kuchukua ili waondoe kero wanazozipata toka kwa wanaotūmia ule uwanja
 
Zile za kule nī nursery na prīmary, huku ndo wqnataka kupanua zaidi naòna wanătaka kuchukua ili waondoe kero wanazozipata toka kwa wanaotūmia ule uwanja

ile ini open space, huwezi kuiita ni kero kwa shule

tujifunze maana ya open space

waliopanga iwe open space siyo wajinga

na waliokuwa wanakataa pagawiwe ili pajengwe sio wajinga, na si kwamba wanachukia hospitali au shule ya wasichana, bali wanajua thamani ya open space
 
Hivi umemsikiliza vyema?

Ndio nimemsikiliza

Mimi ndio nimekuwekea video halafu unaniuliza kama nimemsikiliza

Shehe amesema wanataka kipanua shule wajenge mabweni ya wasichana na form 5 na 6, Rais akasahau akasema wanaomba kujenga hospitali, na atafuatilia kuhakikisha wanajenga hospitali

Wakati hakuna mahala shehe kataja neno hospitali, Rais ameipaka wanja hoja ya waomba kiwanja ili awape kiwanja cha open space, yani wanatufanya Watanzania wajingaaaaaa!
 
Ndio nimemsikiliza

Mimi ndio nimekuwekea video halafu unaniuliza kama nimemsikiliza

Shehe amesema wanataka kipanua shule wajenge mabweni ya wasichana na form 5 na 6, Rais akasahau akasema wanaomba kujenga hospitali, na atafuatilia kuhakikisha wanajenga hospitali

Wakati hakuna mahala shehe kataja neno hospitali, Rais ameipaka wanja hoja ya waomba kiwanja ili awape kiwanja cha open space, yani wanatufanya Watanzania wajingaaaaaa!
Hukusikia kuwa open space hiyo watu wanatupa takataka?
 
Ndio maana mvua kidogo, mafuriko hayo! Kama kila eneo ni lazima lijengwa, maji yatapita wapi?
 



Ningehadithiwa bila kuona video ningesema magazeti uchwara yamem quote vibaya, kwa sababu kutokuwepo kwa open space jijini Dar es Salaam ni crisis kubwa sana ya mipango jiji

Natambua Rais amesema eneo alilolitoa kwa taasisi hii ya Kiislam linaenda kujengwa hospitali ambayo itatumika kwa Watanzania wote, wa dini zote na wasio na dini.

Lakini pamoja na kwamba sote tutatibiwa hapo, Rais unaposema open space haina maslahi kwa hiyo naigawa ijengwe kitu chenye maslahi, huyu Kiongozi wetu anafikiria vitu kwa umakini gani?

Hivi Open Space maana yake ni kwamba ni kwamba hakuna kitu cha maana cha kujenga hapo? Hivi ndivyo Rais wetu anavyochambua mambo anapokaa Ikulu?

Na kwamba sehemu nyingine zooooote zimejaa Tanzania nzima za kujenga dispensary akashindwa kuwapa kiwanja huko?

And that is assuming kwamba wanajenga hospitali, manake msemaji wa Waislam kaomba eneo la "kupanua shule yetu ili tuweke form 5 na 6 na mabweni ya Wasichana..."

Rais anakuja dakika tano baadae kusema mmeomba eneo ambalo "mnaenda kujenga nadhani hospitali..." UNADHANI HOSPITALI? Huna hakika?

Seriously hukumsikia Shehe? Kwenye siku ya Qurani tunaweza kujisahaulisha na kupindisha kauli namna hii mbele ya hadhara?

Kwani maana ya open space/ Reserved space ni nini?

Ulishaangalia mipango miji ukajua matumizi ya baadae ya hiyo space?

Yaani huwa mnakurupuka kuponda tu bila kuhangaisha vichwa vyenu. Rais ana organs zake za kumpa taarifa usije ukadhani anakurupuka tu kufanya maamuzi. Anakuwa na full informed.
 
Huwa naumia sana nikicheki mambo kama hayo. Hivi wajenge leo mwaka mwingine unakuja rais mpya na mipango miji yake wanabomolewa! Kwanini usifanye mambo yanaleta maendeleo endelevu?
 
Naona hujui kusoma nyakati ndugu, hujui huu ni muda wa kampeni au hujui uchaguzi umekaribia?
 
Kwani maana ya open space/ Reserved space ni nini?

Ulishaangalia mipango miji ukajua matumizi ya baadae ya hiyo space?

Yaani huwa mnakurupuka kuponda tu bila kuhangaisha vichwa vyenu. Rais ana organs zake za kumpa taarifa usije ukadhani anakurupuka tu kufanya maamuzi. Anakuwa na full informed.

Tunaongelea OPEN SPACE

Hayo ya "Reserved Space" umeyaleta WEWE!

Na pia Rais hana cha taarifa wala cha organs za taarifa, angekuwa nazo asingesema mnaenda kujenga "nadhani hospitali" wakati shehe kashasema wazi kabisa wanaomba eneo wanataka kupanua mabweni ya wasichana!

Usitetee State House shennanigans ambazo wala huzielewi.
 
Hukusikia kuwa open space hiyo watu wanatupa takataka?

kwa hiyo wamachinga wakijenga kwenye hifadhi ya barabara tubadilishe matumizi tujenge misikiti na makanisa pembeni ya barabara ili pasibaki wazi?

Crazy thinking. Ndio maana hawa watawala wetu wanapeta kirahisi sana na faulty logic kama hizi.

watu wanatupa takataka illegally, hilo ni suala la city council law enforcement. Mbona hawatupi maeneo ya jeshi yaliyo wazi wazi kila mahala nchi nzima?
 
Back
Top Bottom