hii dhana ya kuomba omba ni ugonjwa mbaya sana , nchi kama Marekani au China kutajirika kwao hakukutokana na kutembea huku na huku wakiomba , au wakitegemea kusaidiwa , kwanza ni a kwa nchi kama Tanzania nchi tajiri kiasi hiki , cha msingi ni sisi kuweka mikakati yetu vizuri ya kimaendeleo na kujisimamia si kutegemea kupigia wazungu magoti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.