kuna watu wakimuona jk wanatamani kupasuka lakini yeye hata hana habari nao na anaendelea kuchapa kazi watanzania wanaimani na wewe na wanathamini uwepo wako.
Hivi kuna kitu chochote kutoka kwa JK au CCM ambacho hakipo sahihi kwako?
Wameshawamaliza akili kila kitu kusifia tu kama mazuzu.
Mimi ni mtanzania na sina imani nae. Hao watanzania gani unaowasemea wewe?
Mimi ni mtanzania na sina imani nae. Hao watanzania gani unaowasemea wewe?
Haaa mkuu huyu jamaa ataomba kweli eti...umempa bonge ya idea ya new adventureTumshauri kabla hajatoka madarakani awaombe NASA wampeleke sayari ya Mars kuona kama kuna faa uwekezaji na itakuwa fahari kwa Tanzania kuwa na rais wa kwanza kwenda huko.
mkuu kwako wewe kipi kibaya kwako kwa slaa na mbowe.
Mmh......huyo wa China ziara moja tu kapewa Bandari....huyu wetu ziara 300 hata Ngarawa hakuna
Tumshauri kabla hajatoka madarakani awaombe NASA wampeleke sayari ya Mars kuona kama kuna faa uwekezaji na itakuwa fahari kwa Tanzania kuwa na rais wa kwanza kwenda huko.
Umenisikia naongelea Slaa au Mbowe? . Una kiwewe na watu hao?. Kumbe wewe upo hapa kwa sababu ya kupambana na hao?
Kifupi wewe ni kama Mateka wa Fikra. Kizazi hiki hakitapita kabla ya nyie kuumbuka.
Kuongozwa na wagonjwa ni tatizo kubwa sana...
Mheshimiwa Rais kawajibu wale wote wanaoponda safari zake za nje... enyi watanzania mwenye masikio na asikie...
[video=youtube_share;KZ1FVYyGxio]http://youtu.be/KZ1FVYyGxio[/video]