KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Nimeipenda hiyo.
What is new and strange! The Africans!Safi
WAJINYONGE KWASABABU GANI ?Safi sana presidar wangu. Mungu azidi kukulinda.
Hapo machadema yakiona hivyo yanatamani yajinyonge.
Wewe una kasoro, siyo bure! Tunapenda wote lakini, Mh......................Rais yupo fit kona zote
Naimani hata ndege anaipaisha bila shida
Sijakuelewa Mkuu unaweza kuandika kwa kiswahili maana inaonekana wewe umenielewaWhat is new and strange! The Africans!
Safi ila leseni yake ya udereva inamruhusu kuendesha bus la abiria?
Hakuna aliyoko juu ya sheria weeeRaisi wa JMTZ hahitaji leseni kwa maana yuko Juu ya Sheria za JMTZ!
anajaribu kuvunja sheria???Hafanyi safar anajaribu tu. Watu bwana hamuishiwi maneno
Wanatamani hapo angekuwa lowasaWAJINYONGE KWASABABU GANI ?
Hakuna aliyoko juu ya sheria weee
OvA
Ulipomaliza kupanua, ikaingia.Hivi we kilaza cdm imeingiaje hapo
OvA
Hapo hujaona anaelekezwa? hajui chochote ni kujitafutia sifaRais yupo fit kona zote
Naimani hata ndege anaipaisha bila shida
Mbona makonda alivyoendesha tingatinga wakati wa uzinduzi wa barabara ya bandari hukuuliza leseni yakeanajaribu kuvunja sheria???
Kaelekezwe na wewe kama hutojampa jampa checheHapo hujaona anaelekezwa? hajui chochote ni kujitafutia sifa
Acha wivu hasira za kushindwa chaguzi ndogo mumehamishia huku ku steam out your frustrationsanajaribu kuvunja sheria???
Basi potezeaSijakuelewa Mkuu unaweza kuandika kwa kiswahili maana inaonekana wewe umenielewa
Mbona unapaniki hujaniona hapo namwelekeza mpaka kuwasha?Kaelekezwe na wewe kama hutojampa jampa cheche