Video: Rais aliyechaguliwa na Wananchi hahitaji Ulinzi mkali wa kutisha

chabuso

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
6,380
5,871
Hivi majuzi Raisi wa Ufaransa aliitembelea Denmark kiserikali,Katika video ni Raisi wa Ufaransa pamoja na Waziri Mkuu wa Denmark wakitembea mitaani kwa baskeli na ulinzi wa kawaida tu,sio ulinzi mkubwa wa kutisha raia,Denmark hakuna cheo cha Raisi kwahiyo Waziri Mkuu ndio cheo kikubwa cha kisiasa katika nchi hiyo


Chini ni picha ya Raisi John Pombe Magufuli akiwa katika moja ya ziara zake kuwatembelea raia Tanzania

mahu.png


Mdau toa maoni yako
 
Ulinzi wa kawaida ni upi mkuu? Unafananisha ulaya na afr8ka?
Jibu utalipata kwa kuangalia Video na Picha,...Ulinzi wa kawaida sio wa kutisha raia,...silaha za kivita,na kikosi kizima cha kamando vyote hivyo vya nini,Tanzania ni nchi ya salama haijawahi kutokea hata siku moja Raisi kuuliwa au kutishwa kwa nia yoyote ile..

Kwani Tanzania na Denmark kuna tafauti gani!??

Anyway,kama Raisi wa nchi kwachaguliwa na watu,kwanini awaogope raia wake!???
 
Hivi majuzi Raisi wa Ufaransa aliitembelea Denmark kiserikali,Katika video ni Raisi wa Ufaransa pamoja na Waziri Mkuu wa Denmark wakitembea mitaani kwa baskeli na ulinzi wa kawaida tu,sio ulinzi mkubwa wa kutisha raia,Denmark hakuna cheo cha Raisi kwahiyo Waziri Mkuu ndio cheo kikubwa cha kisiasa katika nchi ya Denmark


Chini ni picha ya Raisi John Pombe Magufuli akiwa katika moja ya ziara zake kuwatembelea raia Tanzania

View attachment 859090

Mdau toa maoni yako

kwanza do not compare Tanzania na hizo nchi nyingine tuko tofauti in terms of technology and other things.
pili si lazima tufanane yani kinachofanywa ufaransa sijui denmark ndio kifanyike tanzania big no
tatu usiige kunya kwa tembo utaishia kupasuka msamba......wabongo mnapenda kuangalia na kuiga huwezi leo kusema Mh Rais ulinzi wake uwe sawa na Trump NO hapo utakuwa ni sawa na kutaka kulazimisha usiku uwe sawa na mchana.
kama una nia ovu juu ya mpendwa wetu SHINDWA NA ULEGEEE
 
Inawezekana Mkuu,mimi LOFA,lakini wana saikologia wanasema ukimuona mtu anajibu MADA kwa matusi ujue huyo hana HOJA...

Yaani akili yote aliyokuwapaMungu umejibu hoja kwa sentensi moja isiyokamilika,!! mimina wewe na LOFA??!
Tofautisha makuzi ya kwenye "classic family" na yale ya Kwetu Ng'washilalage kwa wafugaji !
 
kwanza do not compare Tanzania na hizo nchi nyingine tuko tofauti in terms of technology and other things.
pili si lazima tufanane yani kinachofanywa ufaransa sijui denmark ndio kifanyike tanzania big no
tatu usiige kunya kwa tembo utaishia kupasuka msamba......wabongo mnapenda kuangalia na kuiga huwezi leo kusema Mh Rais ulinzi wake uwe sawa na Trump NO hapo utakuwa ni sawa na kutaka kulazimisha usiku uwe sawa na mchana.
kama una nia ovu juu ya mpendwa wetu SHINDWA NA ULEGEEE
Mazuri huigwa mkuu,hata hao wa nchi za Ulaya na wao wanaiga.!!,TRUMP,Marekani ina historia ya kuuliwa Maraisi..lazima Trump awe na ulinzi mkali,lakini nikuulize umeshawahi kuona silaha za kivita katika ulizi wa Raisi wa Marekani??

Ukweli wenyewe walinzi wa raisi wa Marekani wana kila silaha lakini hawazionyeshi hadharani!!,kwanini isiwe hivyo kwa Raisi wetu!??...
 
Jibu utalipata kwa kuangalia Video na Picha,...Ulinzi wa kawaida sio wa kutisha raia,...silaha za kivita,na kikosi kizima cha kamando vyote hivyo vya nini,Tanzania ni nchi ya salama haijawahi kutokea hata siku moja Raisi kuuliwa ua kutishwa kwa nia yoyote ile..

Kwani Tanzania na Denmark kuna tafauti gani!??

Anyway,kama Raisi wa nchi kwachaguliwa na watu,kwanini awaogpe raia wake!???
Ni ujinga kulinganisha afrika na ulaya. Kule rais au kiongozi anachukuliwa kama mtu wa kawaida tu mtaani, hamna kumshobokea. Kuna mahali kwenye video ya denmark umeona raia wanakimbizana na hao wakuu au kila mtu na taimu yake?
Kikubwa hapa ni utofauti wa mtizamo kwa viongozi hasa maraisi kati ya wenzetu wa magharibi na sisi.
 
Kuna mambo mengine sio lazima kuyajadili na hata siku moja haitatokea kuhoji wala kupunguzwa kwa ulinzi wa Rais.
Hamna anaetaka Raisi kupunguziwa Ulinzi,hoja kwanini nchi ya Usalama kama Tanzania ,Raisi kachaguliwa na watu wanaompenda,nchi haina historia ya kuuliwa maraisi wake,sasa silaha za kivita mbele ya waliomchagua inaleta picha gani kwa raia!!??
 
Back
Top Bottom