kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
awe professor nifeFull Professor Mkuu wa Uchumi (PhD)
awe professor nifeFull Professor Mkuu wa Uchumi (PhD)
Aunge mkono tu juhudi waziwazi kuliko huko mafichoni.Alafu anakwambia kuwa cuf tukiingia madarakani tutafanya hayaaa
Okay.Ndo maana sipotezagi muda wangu kupiga kura.
Bora niende kibaruani nikatafute ugali
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Akii nimecheka.Baada ya kuchukua form ya kugombea urais wa JMT kutoka Tume ya Uchaguzi (NEC) Mwenyekiti wa CUF, Ibrahim Lipumba leo amepokewa na umati wa watu ambao haijawahi kutokea tangia Tanzania ipate uhuru.
Hongera sana Professor Lipumba na msaidizi wako Mage Sakaya, hayo ndiyo malipo mliyo stahili kutoka kwa wapenda mageuzi wa Tanzania.
Si aache am support mumewe! Urais ni mkubwa kuliko kufanya kazi ofisi ya UN. Unless kama na yeye anajuwa kama mumewe ni clown..Lipumba ana mke na watoto.
..mke wake anafanya kazi UN Tanzania na kazi yake haimruhusu kushiriki siasa.
CUF Habari . ELIMU ya Profesa Lipumba ndiyo imeifikisha CUF hapa. Hata aibu hamuoni. Shame on you LipumbaBaada ya kuchukua form ya kugombea urais wa JMT kutoka Tume ya Uchaguzi (NEC) Mwenyekiti wa CUF, Ibrahim Lipumba leo amepokewa na umati wa watu ambao haijawahi kutokea tangia Tanzania ipate uhuru.
Hongera sana Professor Lipumba na msaidizi wako Mage Sakaya, hayo ndiyo malipo mliyo stahili kutoka kwa wapenda mageuzi wa Tanzania.
Akale wapi sasa anko?CUF Habari . ELIMU ya Profesa Lipumba ndiyo imeifikisha CUF hapa. Hata aibu hamuoni. Shame on you Lipumba
Wala chadema usije, nenda CUF mkuuNimeahidi humu, wakipata Wabunge 15, NAHAMIA CHADEMA!
Mkuu nadhan umeattach file tofauti kimakosa. Huu sio kweli msafara wa mgombea uenyekiti serikali ya mtaa Kaka?Baada ya kuchukua form ya kugombea urais wa JMT kutoka Tume ya Uchaguzi (NEC) Mwenyekiti wa CUF, Ibrahim Lipumba leo amepokewa na umati wa watu ambao haijawahi kutokea tangia Tanzania ipate uhuru.
Hongera sana Professor Lipumba na msaidizi wako Mage Sakaya, hayo ndiyo malipo mliyo stahili kutoka kwa wapenda mageuzi wa Tanzania.