Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,152
Haya mapokezi yana reflect kura atakazopata,Mkuu hilo ni faili lenyewe haswaaa akionekana le profesee
Ningekua yeye ningejitoa tu kutopoteza hela zaidi, pia kuepuka aibu ya matokeo.
Haya mapokezi yana reflect kura atakazopata,Mkuu hilo ni faili lenyewe haswaaa akionekana le profesee
Hizi ni dalili za kuanza kulingana kura na kina YAHAYA FAHMI DOVUTWA na CHIEF LUTALOSA YEMBABaada ya kuchukua form ya kugombea urais wa JMT kutoka Tume ya Uchaguzi (NEC) Mwenyekiti wa CUF, Ibrahim Lipumba leo amepokewa na umati wa watu ambao haijawahi kutokea tangia Tanzania ipate uhuru.
Hongera sana Professor Lipumba na msaidizi wako Mage Sakaya, hayo ndiyo malipo mliyo stahili kutoka kwa wapenda mageuzi wa Tanzania.
Anawadhalilisha wasomi wenzakeLipumba mtu wa Payroll aliishafika bei toka 2010 wakati Slaa anagombea urais Chadema.
Ukiwa msomi wa PhD na unayafamu yale uliyoyasoma tu wakati nje ya hapo huna unachokifahamu basi wewe ni mjinga tu. Unaweza kuzidiwa akili na hata wa darasa la saba aliyefeli mtihani.
Akili ni yale unayoyafamu ambayo hukuyasoma darasani.
🤣 🤣🤣 Kweli kabisa by 100%.Hizi ni dalili za kuanza kulingana kura na kina YAHAYA FAHMI DOVUTWA na CHIEF LUTALOSA YEMBA
Baada ya kuchukua form ya kugombea urais wa JMT kutoka Tume ya Uchaguzi (NEC) Mwenyekiti wa CUF, Ibrahim Lipumba leo amepokewa na umati wa watu ambao haijawahi kutokea tangia Tanzania ipate uhuru.
Hongera sana Professor Lipumba na msaidizi wako Mage Sakaya, hayo ndiyo malipo mliyo stahili kutoka kwa wapenda mageuzi wa Tanzania.
😂 😂 😂 😂 😂mapandikizi yaliovishwa nguo cuf,
Yaani Uchaguzi Huu Le Profeseli hawawezi kumfikia Mama Anna Mghwira kwa hilo Shazi alilokusanya.Hizi ni dalili za kuanza kulingana kura na kina YAHAYA FAHMI DOVUTWA na CHIEF LUTALOSA YEMBA
DuhHawa vijana wengi hapo wanatoka Buguruni kwa Mnyamani , Temeke mikoroshini na Tandale kwa Tumbo , ikumbukwe kwamba Abdul Kambaya ni mfanyabiashara wa soko la Tandale anayejishughulisha na Njegere na viazi mviringo kutoka Tanangozi Iringa
Mwaka huu siasa ndio Mwisho maana ruzuku ndio zimekwisha hawatopata hata diwani na 5% ya kura za urais hawafikii ,inabidi ajikite kwenye biashara yake ya nyegere na viazi ulaya.Hawa vijana wengi hapo wanatoka Buguruni kwa Mnyamani , Temeke mikoroshini na Tandale kwa Tumbo , ikumbukwe kwamba Abdul Kambaya ni mfanyabiashara wa soko la Tandale anayejishughulisha na Njegere na viazi mviringo kutoka Tanangozi Iringa
Hata mwenye kiti wa Kijiji hawawezi kupataYaani huyo diwani hawapati
Sawa aisee.Mkuu kucheka siku hizi ni deal sana hivyo hongera sana
Usijali dogo. Siwezi kuja Chadema in the first place kwakuwa hawatapata idadi hiyo ya Wabunge.Wala chadema usije, nenda CUF mkuu
Wewe mbona huendi kwenu Kisiju?Mbona haendi kwao Tabora?