Huyo mke wake huwa hamshauri mume wake walau kuwa reasonable ?..Lipumba ana mke na watoto.
..mke wake anafanya kazi UN Tanzania na kazi yake haimruhusu kushiriki siasa.
Haya mambo huyaweziKuna watu mnalilia demokrasia lakini bado mnataka chama chenu kiwe chama pekee cha upinzani mnashangaza
Inasikitisha sana.Watu kama Lipumba huwaga hawashauriki
Full Professor Mkuu wa Uchumi (PhD)
Kambaya si alifukuzwa cuf au alirudishwa?Hawa vijana wengi hapo wanatoka Buguruni kwa Mnyamani , Temeke mikoroshini na Tandale kwa Tumbo , ikumbukwe kwamba Abdul Kambaya ni mfanyabiashara wa soko la Tandale anayejishughulisha na Njegere na viazi mviringo kutoka Tanangozi Iringa
Huyu ndio mganga wa Lipumba , anafukuzwaje ?Kambaya si alifukuzwa cuf au alirudishwa?
Kuna kipindi walipishana kauli akaondolewa kwenye chama chaoHuyu ndio mganga wa Lipumba , anafukuzwaje ?
Mke wake yupo kwenye taasisi ambayo hairuhusu kushiriki kwenye mambo ya siasa ndo maana haambatani naye kabisa.Yupo huko anakula mpunga wa maana tu.
mkuu vuta kumbukumbu sawaKuna kipindi walipishana kauli akaondolewa kwenye chama chao
Uongo utakusaidia nini ?Hii chama dume Maali Seif na Mbowe wanashangaa kuona bado iko Ngangari Kinoma.
Nimemsikia Tundu Lissu katika misafara yake akitangaza kauli mbiu ya CUF "HAKI NA FURAHA KWA WOTE. lLakini pia nimemsikia Mwakajoka kule Tunduma akitumia salam ya CUF kusalimia wapiga kura wake "WANAUMEEE! WANAWAKEEE!"
Cuf ilisha uzwa ccm kama ilivyo uzwa channel tenHii chama dume Maali Seif na Mbowe wanashangaa kuona bado iko Ngangari Kinoma.
Nimemsikia Tundu Lissu katika misafara yake akitangaza kauli mbiu ya CUF "HAKI NA FURAHA KWA WOTE. lLakini pia nimemsikia Mwakajoka kule Tunduma akitumia salam ya CUF kusalimia wapiga kura wake "WANAUMEEE! WANAWAKEEE!"