Uchaguzi 2020 Video: Polisi wakisindikiza msafara wa Lissu unaoshangiliwa na kupungiwa mikono na maelfu ya wananchi

Mwisho wa siku Magufuli ataapishwa, Lisu anabaki kuwa makamu mwenyekiti wa chadema,

Ona haya mafuriko na maelfu ya watu enzi za dr Slaa 2010
20200814_164215.jpg
20200814_164156.jpg
20200814_164132.jpg
20200814_164053.jpg
 
Mkuu jiandae kupambana na Lissu jukwaani, Kaijage kakataa maagizo ya ccm
Mkuu atakayeapishwa ni JPM, mwaka 2015 tulibet nikawapiga ela nyingi, waliamini Lowassa atakuwa Rais, mwaka huu bado natafuta ajipendekeze akiamini Lissu anaweza kuwa Raisi. Iwe mvua iwe jua, Lissu hawezi kuwa Rais wa nchi hii, na soon pesa ya kampeni inakata.

Lowassa na kujiandaa kote September katikati 2015 alianza kuomba michango, Lissu hata pesa za uzinduzi wa kampeni sijui kama zitakuwepo. Hakuna mtu atakayewekeza kwa mtu ambaye tayari kashafeli.
 
Mkuu atakayeapishwa ni JPM, mwaka 2015 tulibet nikawapiga ela nyingi, waliamini Lowassa atakuwa Rais, mwaka huu bado natafuta ajipendekeze akiamini Lissu anaweza kuwa Raisi. Iwe mvua iwe jua, Lissu hawezi kuwa Rais wa nchi hii, na soon pesa ya kampeni inakata.

Lowassa na kujiandaa kote September katikati 2015 alianza kuomba michango, Lissu hata pesa za uzinduzi wa kampeni sijui kama zitakuwepo. Hakuna mtu atakayewekeza kwa mtu ambaye tayari kashafeli.
kwa sababu ya elfu 7 unaamini Katika pesa !
 
mimi sihitaji elfu 7
Sawa tajiri wa kwanza duniani anayeshinda mitandaoni. Niliwahi kukwambia nyie ndo huwa mkimiliki Brevis au Kluger, na kumiliki nyumba moja Mwanjelwa Mbeya mnaanza kujitangaza matajiri.

Narudia hakuna tajiri duniani anayeshinda mitandaoni. Hata mmiliki wa Facebook ni tajiri Ila humkuti Facebook akipost 24/7 Kama wewe humu JF. Kitendo cha kukesha jukwaa la siasa ukiamini Lissu atakuwa Raisi tayari kinakuondolea sifa za kuwa tajiri.

Automatically unakuwa mtegemea miujiza. Na hakuna tajiri hata mmoja anayetegemea miujiza.
 
Mungu kasimama upande wa LISSU hata wakusanye wapiga manyanga Mungu yuko kwa LISSU TU
Mungu kesha onyesha mkono wake kupitia Kumponya Lisu ila binadamu bado tu wa bishi tunacho subiri kingine ni laana na mateso ndio tunazidi kujifunika Makanisani kinafiki muda utajibu naona Uislamu kama umestukia kinacho endelea
 
Sawa tajiri wa kwanza duniani anayeshinda mitandaoni. Niliwahi kukwambia nyie ndo huwa mkimiliki Brevis au Kluger, na kumiliki nyumba moja Mwanjelwa Mbeya mnaanza kujitangaza matajiri. Narudia hakuna tajiri duniani anayeshinda mitandaoni. Hata mmiliki wa Facebook ni tajiri Ila humkuti Facebook akipost 24/7 Kama wewe humu JF. Kitendo cha kukesha jukwaa la siasa ukiamini Lissu atakuwa Raisi tayari kinakuondolea sifa za kuwa tajiri. Automatically unakuwa mtegemea miujiza. Na hakuna tajiri hata mmoja anayetegemea miujiza.
Pamoja na Ubunge na kuchangia hoja vizuri kila iitwapo siku Mh Zito aliweza kusoma vitabu zaidi ya mia tano kwa mwaka kushinda mtandaoni isikupe shida
 
Pamoja na Ubunge na kuchangia hoja vizuri kila iitwapo siku Mh Zito aliweza kuoma vitabu zaidi ya mia tano kwa mwaka kushinda mtandaoni isikupe shida
Vitabu 500 kwa mwaka ni sawa na vitabu 42 kwa mwezi, sawa na vitabu 10 kwa wiki. Na wewe unaamini hii story ya kusadikika ya Zitto!??, Hivyo vitabu vina page ngapi mpaka mtu asome vitabu zaidi ya 10 kwa siku 7?, Kumbe ndo maana mnadanganywa kirahisi na wanasiasa.
 
Back
Top Bottom