Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,374
- 45,583
ila mitandao ina nguvu sana aisee.
huyo anyeitwa afisa wa FBI,ni nigga mmoja alifananishwa na polis wakagundua waliingia cha kike kumshika hakuwa wanayemtafuta,wakurungwa wameunga n story iliyopo.
afisa wa FBI akatae kukamatwa,halafu atoe kitambulisho,kazi si ndo imeishia hapo!!!
hii story ya mwaka jana imebadilishwa na kuwa mpya na kibaya zaidi imekuwa kama picha la kihindi
Fake news
Kweli mitandao ina nguvu
Siku hizi kuna watu walikuwa kila wakipata clip mbio kunitumia nikiwaambia sio kila kitu mnaamini wamenichoka sasa