Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, hili swali la mwisho kashindwa kulijibu inavyotakiwa...Swali la mwisho limemkamata Mchungaji 'off guard".
Naamini ulichoandika kitawasaidia sana CDMYes, hili swali la mwisho kashindwa kulijibu inavyotakiwa...
Nina hakika hata mtangazaji ameuliza hili swali akiwa hajui anataka jibu la namna gani kutoka kwa mteja wake na kwake jibu lolote ni sawa...
KWA MAONI yangu, nadhani Mch. Peter Msigwa angeweza kujibu swali hilo kwa kuzingatia maelezo yafuatayo;
Ukweli ni kuwa, dunia kote hakuna nchi isiyokuwa na serikali. Kila nchi ina serikali...
Tofauti ni aina ya serikali inayoongoza/tawala nchi husika...
Angeendelea kusema;
å Kuna serikali zilichoguliwa kidemokrasia na kutawala kwa ridhaa ya wananchi..
å Na kuna serikali zinatawala kwa mabavu. Zimejiweka zenyewe. Hazina ridhaa ya wananchi na mfano ni kama serikali hii ya Tanzania chini ya CCM na huyu anayeitwa "Rais" Magufuli...
å Wanadai wamechaguliwa kihalali katika uchaguzi wa kidemokrasia uliofanyika tarehe 28/10/2020...
å Ukweli ni kuwa huo haukuwa UCHAGUZI bali UCHAFUZI ama maigizo ya UCHAGUZI..
å Serikali kwa kutumia vyombo vya dola na Tume ya uchaguzi (NEC), zilipora maamuzi halali ya wananchi kuchagua viongozi kupitia sanduku la kura na badala yake wakawaweka viongozi wasiotokana na ridhaa ya wananchi, wasiochaguliwa na wananchi akiwemo Magufuli na Hussein Mwinyi kule Zanzibar...
å Sasa wananchi wanajua kuwa waliporwa haki ya kuchagua. Wanalalamika na kuwapigia kelele hawa wanajiita "viongozi waliochaguliwa"...
å Nafsi zao zinawahukumu. Na wao wanaujua ukweli kuwa hawakuchaguliwa, hawakushinda na hawana uhalali wa kuunda serikali lakini kwa mabavu wameunda. Wanawatawala watu kwa lazima, kwa mabavu. Na mfano ni haya yanayofanyika sasa yaani kina Halima Mdee na wenzake...
å Ili kutafuta uhalali wanajaribu kutumia hadaa na ghiriba kuzitumia baadhi ya taasisi ikiwemo vyama vya siasa ikiwemo CHADEMA ili kupata uhalali wa kuitwa " serikali yenye ridhaa ya wananchi "...
å Kwa hiyo, baada ya maelezo hayo Mch.Peter Msigwa angemalizia tu kwa kusema;
".... Tunachokipinga sisi ni serikali hii isiyokuwa halali kujaribu kututumia sisi CHADEMA kama taasisi kujipa uhalali wa kutawala na ndiyo maana wanachama wwnzetu katika taasisi yetu wanaoshiriki uharamu huu, tunafanya kila tunaloweza kwa kuzingatia sheria, miongozo na katiba ya chama kujitenga nao ikiwemo kutokuwa na ushirika nao ili wakipenda wajiunge na wezi wenzao..."
".....kwa hiyo, ni lazima kila wanapohadaa umma kujipa uhalali kwa kuwatumia baadhi ya wanachama kwa jina la chama chetu (CHADEMA), tuwataarifu kuwa sisi hatuwatambui na wala hatuna uahirika nanyi katika hayo mnayofanya...."
Ila nashauri