Video of JK and GWB

Waafrika kwa usanii tunaweza kweli kweli. JK bila hata aibu anasema pesa zinakuwa spent wisely?
 
What a big joke!!!!!!!!! Anasema Malaria in Zanzibar has been eliminated!!!!!!! Jamani jamani jamani! Kweli nchi sasa imeshikwa na wenda wazimu! Hawa sio wasanii tena!
 
What a big joke!!!!!!!!! Anasema Malaria in Zanzibar has been eliminated!!!!!!! Jamani jamani jamani! Kweli nchi sasa imeshikwa na wenda wazimu! Hawa sio wasanii tena!

Labda hakupewa data vizuri za NCHI jirani ya Zanzibar ndio maana akaropoka hivo...!
 
................hivi si jk alisema safari hii ameenda kwa kuwa amepewa heshimna ya state visit..sasa mbona sijaona kipokewa kwa gwaride white house kama ilivyo desturi marekani wanapompa kiongozi state honour..au ndio amejiendea tu...halafu mbona cnn au cbs hawajampa hata sekunde tano...au huu ni wakati mbaya mdea houses zote zipo pre occupied na elections....
 
610x.jpg

U.S. President George W. Bush meets with Tanzanian president Jakaya Kikwete in the Oval Office August 29, 2008 in Washington, DC. President Kikwete is visiting the U.S. at the invitation of President Bush.
 
What a big joke!!!!!!!!! Anasema Malaria in Zanzibar has been eliminated!!!!!!! Jamani jamani jamani! Kweli nchi sasa imeshikwa na wenda wazimu! Hawa sio wasanii tena!
Unaweza kusema ni mwenda azimu kumbe kuna wenda azimu hata wa kusikiliza, Mh. rais amesema has been almost eliminated.... na cases za malaria zimeshuka toka 30% to 1%. Sasa kama mtu anabeza hata mafanikio katika Afya sijui atakuwa katika kundi gani.
 
610x.jpg

U.S. President George W. Bush meets with Tanzanian president Jakaya Kikwete in the Oval Office August 29, 2008 in Washington, DC. President Kikwete is visiting the U.S. at the invitation of President Bush.

thanks for the pic..men kwa kuwa nyumbani watu wa ikulu walikuwa wakihalalisha hii ziara wakisema it is special kwa kuwa ni STATE VISIT...kwa taratibu za white house ..huambatana na kupokelewa bustani za white house na rais wa marekani kupita kwenye red carpet kando ya ceremonial guard..kuelekea office ya bush oval offfice...na baadaye kuwa na briefing along rais wa marekani ..kwenye PRESS AUDITORIUM au white house garden.....kinyume na hivyo rais wetu kuingia white house na ku chat..its more or less a COURTESY CALL....inaonekana kikwete hakuwa accorded protocal inayoendana na hadhi ya STATE VISIT..aliyoondokea hapa au??????

maana tulishokuwa tukihoji hii ziara ya 6/7 ya kikwete ndani ya miaka 2.5....kilijibiwa na watu wa ikulu kuwa oooh no this one is a special state visit ..lazima aende......haya yakitokea ndani ya miaka 2.5 kuna maeneo makubwa [mikoa]tu hapa nchini hajatembelea au kutembelea rasmi...maeneo ambayo kwa helicopter au ndege hayachukui zaidi ya masaa 2..kuruka na kufika....

nikiweza kuona kikwete akikagua gwaride kwenye viuwanja vya white house nitashukuru kuona bush ameipa tanzania heshima sawa kidiplomasia ..anagalau kufikia robo..ya heshima tuliyompa hapa....
 
thanks for the pic..men kwa kuwa nyumbani watu wa ikulu walikuwa wakihalalisha hii ziara wakisema it is special kwa kuwa ni STATE VISIT...kwa taratibu za white house ..huambatana na kupokelewa bustani za white house na rais wa marekani kupita kwenye red carpet kando ya ceremonial guard..kuelekea office ya bush oval offfice...na baadaye kuwa na briefing along rais wa marekani ..kwenye PRESS AUDITORIUM au white house garden.....kinyume na hivyo rais wetu kuingia white house na ku chat..its more or less a COURTESY CALL....inaonekana kikwete hakuwa accorded protocal inayoendana na hadhi ya STATE VISIT..aliyoondokea hapa au??????

maana tulishokuwa tukihoji hii ziara ya 6/7 ya kikwete ndani ya miaka 2.5....kilijibiwa na watu wa ikulu kuwa oooh no this one is a special state visit ..lazima aende......haya yakitokea ndani ya miaka 2.5 kuna maeneo makubwa [mikoa]tu hapa nchini hajatembelea au kutembelea rasmi...maeneo ambayo kwa helicopter au ndege hayachukui zaidi ya masaa 2..kuruka na kufika....

nikiweza kuona kikwete akikagua gwaride kwenye viuwanja vya white house nitashukuru kuona bush ameipa tanzania heshima sawa kidiplomasia ..anagalau kufikia robo..ya heshima tuliyompa hapa....
Lol
610x.jpg
 
What a big joke!!!!!!!!! Anasema Malaria in Zanzibar has been eliminated!!!!!!! Jamani jamani jamani! Kweli nchi sasa imeshikwa na wenda wazimu! Hawa sio wasanii tena!

Yaani kwa makusudi umeamua kupotosha! alichosema Rais ni hiki hapa;

He noted that malaria in Zanzibar, "has almost been...is being eliminated now." And he thanked Mr. Bush for helping to eliminate poverty.

Kama una matatizo na tafsiri sema usaidiwe
 
Na vilevile hebu hawa watu wa State House wampe dondoo za mama kukaa kiheshima katika nyifa za kitaifa....dah
20080829-4_p082908sc-0099-515h.html
 
ayaaaaaaaaaaa hajakagua hata gwaride?????.......mh!watatudanganya nini tena watu wa ikulu ngoja tusubili.....hata kwenye CNN au BBC ameonekana??????
 
ayaaaaaaaaaaa hajakagua hata gwaride?????.......mh!watatudanganya nini tena watu wa ikulu ngoja tusubili.....hata kwenye CNN au BBC ameonekana??????

Aisee nimeshinda nikiangalia CNN, BBC, AlJazeera, Sky News hizi zote hazijaonyesha lolote kuhusu hii ziara ya Rais Kikwete, nafkiri hata ukiangalia hizo picha hapo juu unaona kama microfone zilizopo hapo ni chache sana...! Pengine hao walikua ni waandishi wa White house tu...!

Quote of the day...!

"we are punching above our weight"-Kikwete
 
................hivi si jk alisema safari hii ameenda kwa kuwa amepewa heshimna ya state visit..sasa mbona sijaona kipokewa kwa gwaride white house kama ilivyo desturi marekani wanapompa kiongozi state honour..au ndio amejiendea tu...halafu mbona cnn au cbs hawajampa hata sekunde tano...au huu ni wakati mbaya mdea houses zote zipo pre occupied na elections....
PM,
Na mimi pia nilidhani ni state visit. Ni either official or working visit, maana hapa DC amefikia hoteli, na ingekuwa state visit angefikia Blair House na bendera yetu ya Tz ingekuwa inapeperushwa kwenye mitaa ya mji mpaka ugeni umalizike. Hakukuwepo 21 gun salute, na hakukuwepo state dinner. Amekutana na rais Bush kwa mazungumzo jana kwenye Oval office ambapo video hiyo ilichukuliwa.
 
Aisee nimeshinda nikiangalia CNN, BBC, AlJazeera, Sky News hizi zote hazijaonyesha lolote kuhusu hii ziara ya Rais Kikwete, nafkiri hata ukiangalia hizo picha hapo juu unaona kama microfone zilizopo hapo ni chache sana...! Pengine hao walikua ni waandishi wa White house tu...!

Quote of the day...!

"we are punching above our weight"-Kikwete



Kwa hiyo JK kadhaurika au imekuwaje hapo mpaka ashindwe kukagua hata jeshi la USA tunaomba maelezo hapo magogoni kwa nini Jk kashushwa heshima?Au nayo kavamia?Mbona Bush yeye alipo kuja alipokewa kama mfalme sasa iweje yeye asithaminiwe hata kwenye BBC au CNN hatujamwona.,..?
 
Kwa hiyo JK kadhaurika au imekuwaje hapo mpaka ashindwe kukagua hata jeshi la USA tunaomba maelezo hapo magogoni kwa nini Jk kashushwa heshima?Au nayo kavamia?Mbona Bush yeye alipo kuja alipokewa kama mfalme sasa iweje yeye asithaminiwe hata kwenye BBC au CNN hatujamwona.,..?

Wa kulaumiwa ni maafisa wa mawasiliano Ikulu. Walipaswa kujua tofauti kati ya official na state visit. Bush alikuja on state visit ndiyo maana alipewa gwaride mithili ya mfalme.
 
Jasusi,

..sasa tufanye nini jamani ili RAISI wetu apewe hiyo STATE VISIT?

...alipoondoka hapa ..tulihoji inakuwaje anafanya safari ya saba ya marekani..bila sababu za msingi??..kina salva wakamrushia taulo jeupe[kutetea/kumuokoa]..wakisema ...SAFARI HII LAZIMA RAIS AENDE KWA SABABU AMEPATA HESHIMA YA KUPEWA STATE VISIT NA BUSH....Tukasema afadhali..maana kiongozi wa mwisho kupewa state visit marekani inaeleweka ni MWALIMU....wakati wa rafiki yake keneddy.....

......kina kagame na museveni ambao nao wamepata kuwa vipaka vya marekani ...kama kikwete hadi walipokosa dhamani ..wao walipewa heshima ya state visit ..na kuhudhuria ..prayer breakfast mara kadhaa....so it means kikwete is a cheap lousy...to bush...na asubiri obama[democrats ] wakishinda watakavyomtupia virago!!!
 
Jamani, kwenye hicho kideo, Kikwete kasema "well I came here to say thank you" amekuja kutoa shukrani!

I wish we could get the whole footage of the oval office press talk, maana I am curious to know what else did he say!

May be whitehouse website may have full transcript of the meeting.

Sadly, it is not that Kikwete was uncomfortable, but he was never prepared for the meeting. There is no teleprompter or a reading speech! Rather than say " You have done so much for Africa, so much for Tanzania. When you compare, no U.S. president has done so much for Africa and for Tanzania as you have done".

Inaonyesha ni unyenyekevu fulani badala ya msimamo wa kutaka Marekani ifanye kazi za ziada kwenye masuala ya kuondoa Umasikini kauongeza kufuta madeni kwa nchi masikini, kusaidia nchi masikini kupata haki dhodo ya makampuni ya Kimarekani ambayo yanadhulumu kwa kutumia utandawazi, na mambo mengine ya msingi yanayoikabili Afrika!

Lakini what the heck, he is Mkwere, that was expected, amekuja kuangalia Basketball ya Wanawake, kisha arudi Tanzania kwa mfungo wa Ramadhani kabla ya kurudi tena kwenye mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa Mataifa!
 
Back
Top Bottom