Mama mmoja kule Geita, Tanzania amchinja mtoto na kumpika hadi akawa kitoweo, hatari sana...
Mama mmoja kule Geita, Tanzania amchinja mtoto na kumpika hadi akawa kitoweo, hatari sana...
huyo mama mgojwa wa akili, na anahitaji matibabu sio mtu na akili yake anaweza fanya tendo hiloCan't watch the video .Alimchinja ndio atajirike au ? Ufukara kitu kibaya sana hususan kwa wale wasioweza kuvumilia.
Watu wa jf free basic utawajua tuCan't watch the video .Alimchinja ndio atajirike au ? Ufukara kitu kibaya sana hususan kwa wale wasioweza kuvumilia.
Kichaa wapi? Mbona kamkataza dogo asifunuwe sufuria afahamu anachopika...Huyo mama atakuwa ni kichaa. Akapimwe akili kwanza.
Hehehe..hujanielewa wewe. Huwa siangalii hizi video za kuogofya,hata zile za albino.Sipendi kuona watu wakitesWatu wa jf free basic utawajua tu