Hamna kitu hapo wataambuliaAisee kweny maandiko mengi ndan ya mtandao wanasema kiboko hana maadui lakin awa jamaa fisi wamemla nyama live bila chenga
Kwasababu wachawi ni washenzi kama walivyo fisiFisi washenzi sana,
hata najiuliza ni kwanini wachawi wanasafiri na fisi na wala sio hata mbuzi hiv😂😂
Walimtafuna tu hachomoki hapo, fisi wana kawaida ya kuitana. Huyo alichelewa kurudi kwenye deep water baada ya kutoka usiku kwenda kula, anarudi anakutana na Hyena Clan. Amelala hivyo chini kulinda tumbo (belly) maana ndio lina ngozi laini.Hamna kitu hapo wataambulia
Wataishia kumtia majeraha tu ila kuondoka hata na kipande cha nyama ni ishu giza likiingia anarudi majini......Walimtafuna tu hachomoki hapo, fisi wana kawaida ya kuitana. Huyo alichelewa kurudi kwenye deep water baada ya kutoka usiku kwenda kula, anarudi anakutana na Hyena Clan. Amelala hivyo chini kulinda tumbo (belly) maana ndio lina ngozi laini.
Fisi washenzi sana,
hata najiuliza ni kwanini wachawi wanasafiri na fisi na wala sio hata mbuzi hiv😂😂
Kama wanatafuna mifupa watashindwaje kutafuna minofu?Wataishia kumtia majeraha tu ila kuondoka hata na kipande cha nyama ni ishu giza likiingia anarudi majini......
Fisi wanakera sana , utakuta wanakula mnyama mzimamzima yani wanamtoboa tumboni machango yanatoka nje huku wanamla aaaghMimi hupenda sana kuangalia documentaries za mbuga za wanyama na hawa fisi siwapendi hata chembe.