Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,298
- 33,083
Matukio ya kikatili yameendelea kutikisa nchini Nigeria baada ya mwanamke mmoja kubakwa na kuzikwa akiwa mzima....
Taarifa toka katika mitandao ya kinigeria zinadai kuwa mwanamke huyo alibakwa na kisha wabakaji wakamfunga miguu na mikono.....
Zoezi la kumfukua likiendelea.....
Mwili wa dada huyo ukifukuliwa
Mwili umekwisha fukuliwa, bahati mbaya dada huyo amekwisha fariki....
Jeshi la polisi nchini humo lilifanikiwa kuipata habari hiyo masaa 12 baada ya mwanamke huyo kuzikwa akiwa hai....
Zoezi la kumfukua dada huyo lilianza, lakini bahati mbaya dada huyo alikuwa amekwisha fariki
.KAMA HUNA MOYO WA KIJASIRI USIANGALIE
Ifuatayo ni video ya tukio hilo Bonyeza hapa
http://www.mpekuzihuru.com/2013/06/video-mwanamke-abakwa-na-kuzikwa-akiwa.html