Video: Mtu kalizwa Iphone 11 Pro Max, Ukipata vihela vyako Tuliza wenge

Pantomath

JF-Expert Member
Jan 4, 2019
789
3,230
Wazee tusipende kitonga, Ukitaka kizuri basi zama mfukoni haswa,
Unatoa 1.8M unaambulia iphone 11 Pro Max fake.


Nahisi huyu ni mfanyabiashara wa simu, maana ukicheki pembeni hapo kuna nyingine na ni hayo hayo makopo.

Huyu atakua kauza ng'ombe zake huko, kaenda sijui ni china sijui kaagiza, kaletewa hayo ma housing hapo.

Wamemuanza na Apple Logo, wakamaliza na "Android is starting" nayo haifiki mwisho.

Huyu tayari immune ishashuka, tumuombee corona isifanye yake...
Screenshot_20200522-143935.jpg
Screenshot_20200522-144133.jpg
Screenshot_20200522-144020.jpg


Hii ni video 1MB, Inakubali kama attachment.


Sent using Jamii Forums mobile app

Shkamoo k.koo, shkmoo mchina.
 

Attachments

  • Screenshot_20200522-144133.jpg
    Screenshot_20200522-144133.jpg
    51.2 KB · Views: 6
  • Facebook 3189314514433695(480p).mp4
    1 MB
  • Facebook 3189314514433695(480p).mp4
    1 MB
hawa walivyo wajinga utakuta wameuziwa iphone 11 kwa laki 7.

mimi niilikutana na iphone7 plus 2018,ilikuwa inauzwa laki 6,wakati huo zenyewe kabisa hupati chini 1.4.nikabaki nacheka kama magu,ihiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Huko china products za gredi za juu huwa wanatengeneza kwa ajili ya soko la ulaya, marekani, australia, huku afrika tunaambulia vya kiwango cha chini labda kama kuna wafanyabiashara wazoefu ambao wanawajua dealers ambao wanaweza kuwapa genuine products.
Story umepata kijiwen mkuu???wakat uksubir mama ashura akufungie mandaz kwa gazeti???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom