nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Sina ya kusema kwa kweli,wananchi wenyewe washaona serikali yao vuluvulu,ni mwendo wa kuachwa ufe pale unapoanguka barabarani KWA CHANGAMOTO YA UPUMUAJI.
So sad hii clip ni karibu na soko la Samunge Arusha, wengine wanadai kwenye comments huyo ni mlevi na kwamba ni ya siku nyingi hiyo clip,angalia vizuri utaona watu wamevaa mask,pia leo ulikuwa na clip nyingine ya trafiki kaanguka na mwenzake kasimama mbali mita kama 10 anamshangaa tu.
Nfikiri hadi mwezi wa sita itakuwa ni disaster kubwa nchi hii, handling ya hii issue imewashinda kabisa ,watawala wenyewe kina Gambo n Bashite,hopeless kabisa
So sad hii clip ni karibu na soko la Samunge Arusha, wengine wanadai kwenye comments huyo ni mlevi na kwamba ni ya siku nyingi hiyo clip,angalia vizuri utaona watu wamevaa mask,pia leo ulikuwa na clip nyingine ya trafiki kaanguka na mwenzake kasimama mbali mita kama 10 anamshangaa tu.
Nfikiri hadi mwezi wa sita itakuwa ni disaster kubwa nchi hii, handling ya hii issue imewashinda kabisa ,watawala wenyewe kina Gambo n Bashite,hopeless kabisa