Video: Msafara wa Pascal Haonga mbunge wa Mbozi wasimamishwa na Wanafunzi, wamshangilia vibaya sana

Wamama 20 watu wazima wanaitwa wanafunzi!! Eti msafara umevamiwa kumbe mtu anaibuka toka vichakani. Maigizo mengine yanafurahisha.
 
Mbunge ashiriki ktk kusaidia kutatua matatizo ya jimboni kwake.

Kipaumbele cha wananchi wake ni tofauti na yale maagizo ya kutoka makao makuu ya serikali yaliyopo Dodoma na Dar es Salaam.


Wananchi walio wengi hawahitaji ma flyover wala bombadier au stendi mpya za mabasi ukubwa unaofikia airport ya Dar es Salaam.

Vipaumbele vyao wananchi ni kupata pembejeo kwa wakati, soko kwa mazao yao ya kahawa, korosho, dagaa, mifugo n.k

Hizo mbwembwe za CCM Mpya ya Majengo makubwa kupita kiasi ya stendi huko wanakoishi watanzania wachache ktk miji mikubwa haziwavutii wala hawaelewi kwanini serikali inatapanya fedha ktk miradi ya Maendeleo ya Vitu.
 
Picha kubwa na picha ndogo....

Hiko kilimo nimekisikia toka uhuru hadi wakati wa nguvu kazi hadi sasa hakijawahi kumkomboa mtz...

Natamani kusikia uwekezaji kwenye kilimo uweje kwakuwa kugawa pembejeo ni ujamaa na ujinga unaomfanya mkulima ahamini kilimo ni jukumu la serikali.... (i might be wrong thou)

Magu kaamua kupiga pasi ndefu...

Maendeleo mtakutanayo mbele nchi inavyofunguka na kupitika..

Mbunge ashiriki ktk kusaidia kutatua matatizo ya jimboni kwake.

Kipaumbele cha wananchi wake ni tofauti na yale maagizo ya kutoka makao makuu ya serikali yaliyopo Dodoma na Dar es Salaam.


Wananchi walio wengi hawahitaji ma flyover wala bombadier au stendi mpya za mabasi ukubwa unaofikia airport ya Dar es Salaam.

Vipaumbele vyao wananchi ni kupata pembejeo kwa wakati, soko kwa mazao yao ya kahawa, korosho, dagaa, mifugo n.k

Hizo mbwembwe za CCM Mpya ya Majengo makubwa kupita kiasi ya stendi huko wanakoishi watanzania wachache ktk miji mikubwa haziwavutii wala hawaelewi kwanini serikali inatapanya fedha ktk miradi ya Maendeleo ya Vitu.
 
Picha kubwa na picha ndogo....

Hiko kilimo nimekisikia toka uhuru hadi wakati wa nguvu kazi hadi sasa hakijawahi kumkomboa mtz...

Natamani kusikia uwekezaji kwenye kilimo uweje kwakuwa kugawa pembejeo ni ujamaa na ujinga unaomfanya mkulima ahamini kilimo ni jukumu la serikali.... (i might be wrong thou)

Magu kaamua kupiga pasi ndefu...

Maendeleo mtakutanayo mbele nchi inavyofunguka na kupitika..

Kila mtu anajua CCM Mpya imetelekeza kilimo, inachokazania ni sera ya Maendeleo ya Vitu na siyo Maendeleo ya Watu mfano kilimo kinachogusa maendeleo ya watanzania wengi zaidi ambao ni watu waishio vijijini na ktk miji midogo.
 
Hivi hawa wabunge wa chadema wana mvuto wa namna gani lakini ?


View attachment 1498667
Utawasikia ooh chadema iko mjini tu. Cheki hapo ni porini kabisa hata mtoto wa miaka 15 anaijua chadema anajua Mkombozi ni Chadema.

Halafu mbona sionagi wabunge wa ccm walitembelea majimbo yao wana matatizo gani??

Mfano Job ndugai au Akina Mlimba na akina Msukuma sijawahi luona wanatembelea wananchi wao ana wana gundu?
 
Back
Top Bottom