Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 12,273
- 6,432
Katika nchi kama marekani yenye watu wengi wa jamii mbalimbali wenye tabia tofauti tofauti ila ajabu mmarekani mweusi ndiyo huonekana anaongoza kwa uharifu kiasi cha kwamba hata mtu akisikia wameuliwa cha kwanza kufikiri inakuwa ni kwa sababu ya uharifu wao. Ila mie nafikiri rangi yao ndio inawaponza kwa kufanya wao waonekane zaidi sababu ya utofauti na rangi zengine ni kama doa jekundu kwenye nguo nyeupe tunawaona ni kama wahamiaji tu ambao wamehamia na tabia zao ambazo ni tofauti na wenyeji.
Mtazamo wangu tu.
Mtazamo wangu tu.