nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Ni wakati pia wakuu wengine wa mikoa kuiga uchapakazi wa kijana huyu wa DSM kwani akiwa kama mkuu wa kamati ya usalama wa mkoa ameingilia kati beef jipya kuhusu jina la Tanzania sweetheart kati ya wema sepetu na Hamisa mobeto
Ikumbukwe hao wadada wapo kwenye MKOA WAKE na issue yao inahusisha mateam ya mtandaoni hivyo uamuzi wa busara aliochukua kijana huyu kutolea ufafanuzi umeokoa maafa yasitokeeee
***Haijalishi kama mahakama ilimkuta huyo bibie wema na tuhuma za kutumia madawa ya kulevya ila kwa mujibu wa bwana Makonda huyo ndiye Tanzania sweetheart...Waaaaoh what a charismatic leader he is..yupo vizuri mnooo aiseee.
Ikumbukwe hao wadada wapo kwenye MKOA WAKE na issue yao inahusisha mateam ya mtandaoni hivyo uamuzi wa busara aliochukua kijana huyu kutolea ufafanuzi umeokoa maafa yasitokeeee
***Haijalishi kama mahakama ilimkuta huyo bibie wema na tuhuma za kutumia madawa ya kulevya ila kwa mujibu wa bwana Makonda huyo ndiye Tanzania sweetheart...Waaaaoh what a charismatic leader he is..yupo vizuri mnooo aiseee.