Q Quinine JF-Expert Member Jul 26, 2010 21,271 47,269 Jan 20, 2018 #1 Anaitwa MacDonald Paschal Lunyilija. Kadi no AB 1531040. Ni Kati ya wanachama wachache wa CCM wanaojielewa, anapinga mchakato wa kuwapata wagombea wa Kinondoni na Siha.
Anaitwa MacDonald Paschal Lunyilija. Kadi no AB 1531040. Ni Kati ya wanachama wachache wa CCM wanaojielewa, anapinga mchakato wa kuwapata wagombea wa Kinondoni na Siha.
S sawa JF-Expert Member Nov 22, 2010 2,753 925 Jan 20, 2018 #2 ngoja aje chakubanga ndio utaelewa kuwa remoti ipo msoga kingamuzi magogoni
Mfamaji JF-Expert Member Nov 6, 2007 6,631 1,926 Jan 20, 2018 #3 Watajiju. Hata ukiwa mjinga hukosi chembe ya ulewa.
MKWEPA KODI JF-Expert Member Nov 28, 2015 28,707 71,003 Jan 20, 2018 #4 Quinine said: Click to expand... Mnalalamika nini wakati mliambiwa akimaliza kuchezea katiba na sheria za nchi atahamia kwenu sasa mtulie ili anyooshe katiba yenu ya ccm
Quinine said: Click to expand... Mnalalamika nini wakati mliambiwa akimaliza kuchezea katiba na sheria za nchi atahamia kwenu sasa mtulie ili anyooshe katiba yenu ya ccm
MKWEPA KODI JF-Expert Member Nov 28, 2015 28,707 71,003 Jan 20, 2018 #6 Wafia chama cha mapinduzi mtulie tu ili chadema wanaohamia ccm wale mazuri ya nchi
MR MAJANGA JF-Expert Member Oct 4, 2014 3,393 10,591 Jan 20, 2018 #8 wanzuki hajaribiwi huyo jamaa soon atafutwa uanachama maana jamaa anampango wa kuongeza muda wa kukaa madarakani
wanzuki hajaribiwi huyo jamaa soon atafutwa uanachama maana jamaa anampango wa kuongeza muda wa kukaa madarakani
Fortilo JF-Expert Member Apr 10, 2012 4,722 14,247 Jan 20, 2018 #10 Safi sana, watu wakiambiwa ni ngum mno kwa Tanzania kuwa ya ki communist hawaelewi..2020 ni karibu mno.... more are yet to come
Safi sana, watu wakiambiwa ni ngum mno kwa Tanzania kuwa ya ki communist hawaelewi..2020 ni karibu mno.... more are yet to come
K Kidzude JF-Expert Member Jul 14, 2011 4,424 1,361 Jan 20, 2018 #11 Hoja ya mashiko itasikilizwa then atafutwe mwenye uzito Wa mwalim. Planned move
Q Quinine JF-Expert Member Jul 26, 2010 21,271 47,269 Jan 20, 2018 Thread starter #12 Kidzude said: Hoja ya mashiko itasikilizwa then atafutwe mwenye uzito Wa mwalim. Planned move Click to expand... Atasikilizwa lini na mchakato wa kuwapata wagombea wapya utaanza lini wakati muda wa kuchukua fomu umeshaisha, hiyo ndiyo imetoka.
Kidzude said: Hoja ya mashiko itasikilizwa then atafutwe mwenye uzito Wa mwalim. Planned move Click to expand... Atasikilizwa lini na mchakato wa kuwapata wagombea wapya utaanza lini wakati muda wa kuchukua fomu umeshaisha, hiyo ndiyo imetoka.
M Mkumbwa Jr JF-Expert Member Mar 23, 2016 2,370 3,142 Jan 20, 2018 #13 Polepole ameamua kama huridhiki na mfumo,hamia walipotoka hao mnaowalalamikia Hizo ndio demokrasia za Afrika,zipo zaidi kwenye maandishi
Polepole ameamua kama huridhiki na mfumo,hamia walipotoka hao mnaowalalamikia Hizo ndio demokrasia za Afrika,zipo zaidi kwenye maandishi