Wote wawili (Mheshimiwa KIKWETE na Rais MAGUFULI) wamejimwaga kuburudika.Usiwe mjinga hikivyo mtoto weweeeee, hakuna mtu mwenye akili timamu akataka kufanana swagga na watoto wake, sasa nani baba na nani mtoto hapo? Umeshasema Kikwete anafanana kucheza na watoto wake.....kwa hiyo ulitaka Magufuli akate viuno kama watoto wake? Weee mpuuzi sana.
Mheshimiwa Kikwete Mtoto wa Mjini, anamstua Rais Magufuli wanyanyuke kuyarudi.
Mheshimiwa Kikwete fulu kujiachia, Rais Magufuli anashindwa kujiachia.
Rais Magufuli yaelekea ni Mtu wa aibu aibu.
Inaelekea enzi zake za ujana Rais Magufuli hakuwa Mtu wa kwenda Club
Hii post imesukumwa kwa upepo hadi huku; au?!Kwa jicho la chadema DW ni ya maana sana kuliko maisha ya watanzania.
Shame on you chadema
Kama iliwezekana kukopi staili za kucheza basi iwezekane na kukopi mambo ya kimaendeleo kwa wengine
Ndio maanaaa!Kaja Mjini Rasmi kuishi 1995 alipoteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na kabla ya hapo alikuja Mjini Mara ya kwanza kujiunga na Chuo na baada ya kumaliza Masomo akarudi kwao Sengerema sijui Chatto!
Kweli wewe ni mtoto....Magufuli ni rais siyo msanii kama Kikwete. Kuna usanii na maisha ya kweli. Magufuli lazima awe ana act as a president in public kuendana na wadhifa wake, sasa aje adharani na kukata viuno si hata wewe mwenyewe utamdharau? Angalia Kikwete jinsi wabongo fleva walivyokuwa wanamdharau mpaka wengine wakadiriki kumuita mshua na kutomtilia maanani anapo zungumza.
Ya Moto Band ndio wale FFU wa Ughaibuni nini?Hivi kweli Ya moto band wapo maana wamepotea na siasa
Wote wawili (Mheshimiwa KIKWETE na Rais MAGUFULI) wamejimwaga kuburudika.
Kinachozungumziwa hapa ni kuyarudi kwao.
Kwa jinsi walivyoyarudi Mheshimiwa KIKWETE katisha sana, yaani funika Bovu.
Sasa wewe unachomshambulia Mdau ni nini?
Au hukuiangalia VIDEO!
Umechangia Mada kwa kupitia Michango ya Wadau!
Sioni sababu ya wewe kumshambulia huyo Mdau Pohamba
Usiwe mjinga hikivyo mtoto weweeeee, hakuna mtu mwenye akili timamu akataka kufanana swagga na watoto wake, sasa nani baba na nani mtoto hapo? Umeshasema Kikwete anafanana kucheza na watoto wake.....kwa hiyo ulitaka Magufuli akate viuno kama watoto wake? Weee mpuuzi sana.
Kwahiyo ukiwa Rais kwa unavyofikiria wewe haitakiwi hata kujiburudisha!Bado utoto unawasumbua....mtu kama rais hata kama unajuwa kucheza magoma, huwezi kuja hadharani na kuyaruka vile utakavyo....ni lazima utatumia busara kwani hauko pale kwa ajili ya kucheza na kujitoa ufahamu.....unaelewa hii au?