luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Tangu kura sijui za maoni sijui za nini huko zitangazwe, matukio ya rushwa yalishamiri mno, mchakato huu ulifanywa na Chadema pia ila hatukusikia haya mambo.
Video hii ni mtu anayesikika akitajwa kwa jina la Ngeleja akiwakimbia PCCB wakati wakijaribu kumkamata. Wabunge wa style hii kamwe hawawezi kuleta changamoto zozote Bungeni zaidi ya kupiga makofi, kushangilia, kukejeli na kupitisha miswada mibovu kama ile ya Madini.
Ichi chama jaman tumuachie Mungu