Sugu nae ajiandae.
Labda inaweza kuwa tatizo la kompyuta yangu, lakini kwa hakika hiyo video wala siioni
Chama cha magamba ndicho kinachostahili kichapo kwa sababu ya kuendekeza blabla na pumba zao, wakati watu wanahitaji maendeleo.Sugu nae ajiandae.
Ukiona wananchi wanapandisha jazba kiasi hiki elewa mambo si mambo! Huyu alishinda kwa kishindo au 'kapachikwa'?
Mkuu unachoona kwenye video ni trela tu, picha lenyewe mwombe Mathias aandike asiweke video... Alikuwa eneo la tukioAsante mkuu kwa kuungansha sredi. Nilikuwa sijui kama imeshawekwa humu. Hii ni mara mara ya kwanza kuona mbunge anabanwa na watu wake kiasi hiki mpaka anashindwa kupumua. Kazi anayo.