na wewe unaongea mataputapuipo siku viongozi wa cdm mtahukumiwa na umma kwa matamshi yenu ya hovyo
Mungu ibariki cdm, mungu mbariki mbowe . Huyu akipewa nchi miaka 5 tu Tanzania inarudi kwenye ramani ya duniaHotuba yake kwa ujumla ilikuwa nzuri na motivated ukiichukulia kwa hali ya uchanya bila kuweka mawazo potofu