dennoo_appliances
Senior Member
- Nov 28, 2018
- 136
- 190
Na polis watolee maelezo zile CCTV Camera ziliondelewa kihuni ili kuharibu ushahidMnaamua kumtoa dereva na maelezo mpaka mtakapotaka nyinyi nasio polisi,mbona kipindikile cha nyuma mlikuwa hamji na hoja kama hizi? Mmejichelewesha mpaka ushahidi unaanza kupotea ndio mnakuja na usaka wenu, Acheni ulofa nyie chadema tumechoka na maigizo yenu ya futuhi.