Video: Mawakili waishangaa Polisi kwa Lissu na dereva wake kutohojiwa; wadai wanaweza kuhojiwa hata kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,888
143,983


Baadhi ya wanasheria wameshangazwa na Jeshi la Polisi kushindwa kumhoji mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu na dereva wake.

Wamesema sheria na utaratibu wa jeshi hilo unaliwezesha kuendelea na uchunguzi hata kama mbunge huyo yuko nje ya nchi.

Wakizungumza na Mwananchi leo Jumatatu Februari 11, 2019 baadhi ya wanasheria wametaja sheria zinazowezesha Jeshi la Polisi kumhoji mtuhumiwa au mtu yeyote wa tukio la jinai akiwa popote duniani.

Ijumaa iliyopita Februari 8, 2019 Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola alilieleza Bunge kuwa kesi ya kushambuliwa kwa risasi Lissu imeshindwa kuendelea kutokana na mbunge huyo pamoja na dereva wake kushindwa kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi kwani wao ndio mashuhuda muhimu wa tukio hilo.

Lugola alisema hayo alipokuwa akijibu hoja za wabunge waliokuwa wakichangia taarifa ya kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama.

Lugola alisema siku ya tukio hilo Septemba 7, 2017 ndani ya gari, Lissu alikuwa na dereva wake ambao ni mashuhuda muhimu katika kesi hiyo.
Lissu alishambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 mchana wa Septemba 7, 2017 katika makazi yake Area D jijini Dodoma akitoka kuhudhuria vikao bungeni ambapo kwa sasa ametoka hospitali na anaendelea na ziara barani Ulaya na Marekani.

Lissu amekuwa akihoji sababu ya Jeshi la Polisi kutomhoji tangu alipokuwa Nairobi, Kenya, huku pia akishangazwa na hatua hiyo, akisema kama angefariki dunia polisi wangefanya nini.

Mwanasheria wa kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Paul Mikongoti ameitaja Sheria ya Kusaidiana kwenye mambo ya jinai (Mutual assistance in criminal matters) akisema ndiyo inayoliongoza Jeshi la Polisi kwenda kuhoji wahalifu au waathirika wa matukio ya jinai wakiwa nje ya nchi.

“Sheria zipo zinazoliwezesha Jeshi la Polisi kumhoji Lissu. Hata wao Polisi wenyewe wanaweza kwenda kwa kushirikiana na majeshi ya Polisi kama ya Kenya au Ubeligiji au mtandao wa Polisi wa kimataifa (Interpol),” amesema Mikongoti.

Amesema Serikali inaweza kutumia ofisi za ubalozi kumhoji Lissu na dereva wake tangu alipokuwa nchini Kenya na Ubeligiji.

“Tuna ubalozi Kenya, tuna ubalozi Ubeligiji wangeweza kutuma maofisa wao kwenda kumhoji. Sijui kwa nini hawajamhoji, wao wenyewe wanajua, lakini kuna sheria inayoitwa Mutual assistance in criminal matters, inayotoa mwongozo wa kwenda kuhoji watu kama hao,” amesema.

Mmoja wa mawakili ambaye hakutaka jina lake kuwekwa wazi amesema Jeshi la Polisi halina sababu ya msingi la kushindwa kumhoji Lissu popote alipo duniani.

“Issue (suala) si sheria, Jeshi la Polisi linapotakiwa kumhoji mtu, kama nje ya nchi na hasa alipokuwa Kenya alipopata fahamu wangekwemda kumhoji. Kwa hiyo wanaweza kumhoji mahali popote hakuna kitu chochote kinachozuia kwenda kumhoji,” alisema wakili huyo.

“Hata kama mtu ni shahidi muhimu na yuko nje ya nchi na imekuwa ngumu kumleta, Jeshi la Polisi linakwenda kumhoji. Sioni kama ni defence kwamba hajahojiwa,” amesema.

Amesema Jeshi la Polisi katika upelelezi linaweza kwenda popote, hata kama ni Marekani.

“Ni ngumu kutetea kwamba Jeshi la Polisi limeshindwa kuendelea na upelelezi kwa sababu halikwenda kumhoji, haiingii akilini,” alisisitiza wakili huyo.

Wakili mwingine kwa sharti la kutotajwa jina amesema pia ameitaja sheria hiyo ya kusaidiana katika masuala ya jinai.

“Kifungu cha 14(1)(b)(ii) kinaeleza bayana, unapokuwa Tanzania kuna uchunguzi wa jinai unafanyika, halafu kuna mtu mwenye ushahidi muhimu lakini hayupo Tanzania, Mwanasheria mkuu akiona ushahidi muhimu anachukua mamlaka ya kuwasiliana na nchi nyingine ili wachukue ushahidi kule aliko mtu,” amesema wakili huyo.

“Iwe Kenya iwe Ubelgiji, yaani kwa hali ya kawaida, mgonjwa alazwe Uingereza halafu muache kuchunguza ugaidi?” Alihoji.

Ametaja pia mabadiliko ya sheria ya ushahidi ya 2017 yalifanyika ili kuendana na kasi ya teknolojia akisema mtuhumiwa au mwathirika anaweza kuhojiwa popote alipo duniani kwa njia za mawasiliano ya elektroniki.

“Mabadiliko hayo yaliyotanguliwa na mahakama za juu nchini, Polisi wanaweza kuhoji mtu akiwa nje ya nchi. Wewe ni askari wa upelelezi unaweza kuyarekodi maelezo yenu kwa njia ya video, si unamwona kule kule anatoa ushahidi? Kwa nini ishindikane kumhoji mtu aliye Nairobi au Ubeligiji?” Amehoji.

Amesema njia ya tatu ya kutuma watu alipo mwathirika wa tukio ili kumhoji akisema pia inawezekana.

“Haiwezekani maisha yakasimama 2019 eti kwa sababu mtu hayupo nchini,” amesisitiza.
     
 
Sijawahi ona au sikia mtu anahojiwa kienyeji namna hii.
Umapomuhoji mtu, physical presence, kuongea nae face to face na kumsikia hata anavyovuta pumzi ni muhimu zaidi. Kwenye video conference au njia nyingine hupati true coorperation.
Sasa wanashindwa nini kwenda kuwahoji?

Kwanini hata Nairobi hamkwenda?

Na ni kwanini Polisi hawakumuhoji dereva wa Lissu pale hospitali ya mkoa wa Dodoma siku ile ya tukio?
 
Polisi nawashauri waachane na wale wajasiriamali wa miili yao Tundu lisu na dereva wake. Huwezi kujipangia namna ya kuhojiwa. Wakae hukohuko, wasirudi bongo, watuachie nchi yetu kwa amani.
 
Hata hao marekani hawafanyi interrogation kwa wire nyie mnatoa wapi hizi misconception zenu?
Upinzani kwa kweli una safari ndefu.


Baadhi ya wanasheria wameshangazwa na Jeshi la Polisi kushindwa kumhoji mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu na dereva wake.

Wamesema sheria na utaratibu wa jeshi hilo unaliwezesha kuendelea na uchunguzi hata kama mbunge huyo yuko nje ya nchi.

Wakizungumza na Mwananchi leo Jumatatu Februari 11, 2019 baadhi ya wanasheria wametaja sheria zinazowezesha Jeshi la Polisi kumhoji mtuhumiwa au mtu yeyote wa tukio la jinai akiwa popote duniani.

Ijumaa iliyopita Februari 8, 2019 Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola alilieleza Bunge kuwa kesi ya kushambuliwa kwa risasi Lissu imeshindwa kuendelea kutokana na mbunge huyo pamoja na dereva wake kushindwa kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi kwani wao ndio mashuhuda muhimu wa tukio hilo.

Lugola alisema hayo alipokuwa akijibu hoja za wabunge waliokuwa wakichangia taarifa ya kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama.

Lugola alisema siku ya tukio hilo Septemba 7, 2017 ndani ya gari, Lissu alikuwa na dereva wake ambao ni mashuhuda muhimu katika kesi hiyo.
Lissu alishambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 mchana wa Septemba 7, 2017 katika makazi yake Area D jijini Dodoma akitoka kuhudhuria vikao bungeni ambapo kwa sasa ametoka hospitali na anaendelea na ziara barani Ulaya na Marekani.

Lissu amekuwa akihoji sababu ya Jeshi la Polisi kutomhoji tangu alipokuwa Nairobi, Kenya, huku pia akishangazwa na hatua hiyo, akisema kama angefariki dunia polisi wangefanya nini.

Mwanasheria wa kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Paul Mikongoti ameitaja Sheria ya Kusaidiana kwenye mambo ya jinai (Mutual assistance in criminal matters) akisema ndiyo inayoliongoza Jeshi la Polisi kwenda kuhoji wahalifu au waathirika wa matukio ya jinai wakiwa nje ya nchi.

“Sheria zipo zinazoliwezesha Jeshi la Polisi kumhoji Lissu. Hata wao Polisi wenyewe wanaweza kwenda kwa kushirikiana na majeshi ya Polisi kama ya Kenya au Ubeligiji au mtandao wa Polisi wa kimataifa (Interpol),” amesema Mikongoti.

Amesema Serikali inaweza kutumia ofisi za ubalozi kumhoji Lissu na dereva wake tangu alipokuwa nchini Kenya na Ubeligiji.

“Tuna ubalozi Kenya, tuna ubalozi Ubeligiji wangeweza kutuma maofisa wao kwenda kumhoji. Sijui kwa nini hawajamhoji, wao wenyewe wanajua, lakini kuna sheria inayoitwa Mutual assistance in criminal matters, inayotoa mwongozo wa kwenda kuhoji watu kama hao,” amesema.

Mmoja wa mawakili ambaye hakutaka jina lake kuwekwa wazi amesema Jeshi la Polisi halina sababu ya msingi la kushindwa kumhoji Lissu popote alipo duniani.

“Issue (suala) si sheria, Jeshi la Polisi linapotakiwa kumhoji mtu, kama nje ya nchi na hasa alipokuwa Kenya alipopata fahamu wangekwemda kumhoji. Kwa hiyo wanaweza kumhoji mahali popote hakuna kitu chochote kinachozuia kwenda kumhoji,” alisema wakili huyo.

“Hata kama mtu ni shahidi muhimu na yuko nje ya nchi na imekuwa ngumu kumleta, Jeshi la Polisi linakwenda kumhoji. Sioni kama ni defence kwamba hajahojiwa,” amesema.

Amesema Jeshi la Polisi katika upelelezi linaweza kwenda popote, hata kama ni Marekani.

“Ni ngumu kutetea kwamba Jeshi la Polisi limeshindwa kuendelea na upelelezi kwa sababu halikwenda kumhoji, haiingii akilini,” alisisitiza wakili huyo.

Wakili mwingine kwa sharti la kutotajwa jina amesema pia ameitaja sheria hiyo ya kusaidiana katika masuala ya jinai.

“Kifungu cha 14(1)(b)(ii) kinaeleza bayana, unapokuwa Tanzania kuna uchunguzi wa jinai unafanyika, halafu kuna mtu mwenye ushahidi muhimu lakini hayupo Tanzania, Mwanasheria mkuu akiona ushahidi muhimu anachukua mamlaka ya kuwasiliana na nchi nyingine ili wachukue ushahidi kule aliko mtu,” amesema wakili huyo.

“Iwe Kenya iwe Ubelgiji, yaani kwa hali ya kawaida, mgonjwa alazwe Uingereza halafu muache kuchunguza ugaidi?” Alihoji.

Ametaja pia mabadiliko ya sheria ya ushahidi ya 2017 yalifanyika ili kuendana na kasi ya teknolojia akisema mtuhumiwa au mwathirika anaweza kuhojiwa popote alipo duniani kwa njia za mawasiliano ya elektroniki.

“Mabadiliko hayo yaliyotanguliwa na mahakama za juu nchini, Polisi wanaweza kuhoji mtu akiwa nje ya nchi. Wewe ni askari wa upelelezi unaweza kuyarekodi maelezo yenu kwa njia ya video, si unamwona kule kule anatoa ushahidi? Kwa nini ishindikane kumhoji mtu aliye Nairobi au Ubeligiji?” Amehoji.

Amesema njia ya tatu ya kutuma watu alipo mwathirika wa tukio ili kumhoji akisema pia inawezekana.

“Haiwezekani maisha yakasimama 2019 eti kwa sababu mtu hayupo nchini,” amesisitiza.
     [/QUOT
 


Baadhi ya wanasheria wameshangazwa na Jeshi la Polisi kushindwa kumhoji mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu na dereva wake.

Wamesema sheria na utaratibu wa jeshi hilo unaliwezesha kuendelea na uchunguzi hata kama mbunge huyo yuko nje ya nchi.

Wakizungumza na Mwananchi leo Jumatatu Februari 11, 2019 baadhi ya wanasheria wametaja sheria zinazowezesha Jeshi la Polisi kumhoji mtuhumiwa au mtu yeyote wa tukio la jinai akiwa popote duniani.

Ijumaa iliyopita Februari 8, 2019 Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola alilieleza Bunge kuwa kesi ya kushambuliwa kwa risasi Lissu imeshindwa kuendelea kutokana na mbunge huyo pamoja na dereva wake kushindwa kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi kwani wao ndio mashuhuda muhimu wa tukio hilo.

Lugola alisema hayo alipokuwa akijibu hoja za wabunge waliokuwa wakichangia taarifa ya kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama.

Lugola alisema siku ya tukio hilo Septemba 7, 2017 ndani ya gari, Lissu alikuwa na dereva wake ambao ni mashuhuda muhimu katika kesi hiyo.
Lissu alishambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 mchana wa Septemba 7, 2017 katika makazi yake Area D jijini Dodoma akitoka kuhudhuria vikao bungeni ambapo kwa sasa ametoka hospitali na anaendelea na ziara barani Ulaya na Marekani.

Lissu amekuwa akihoji sababu ya Jeshi la Polisi kutomhoji tangu alipokuwa Nairobi, Kenya, huku pia akishangazwa na hatua hiyo, akisema kama angefariki dunia polisi wangefanya nini.

Mwanasheria wa kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Paul Mikongoti ameitaja Sheria ya Kusaidiana kwenye mambo ya jinai (Mutual assistance in criminal matters) akisema ndiyo inayoliongoza Jeshi la Polisi kwenda kuhoji wahalifu au waathirika wa matukio ya jinai wakiwa nje ya nchi.

“Sheria zipo zinazoliwezesha Jeshi la Polisi kumhoji Lissu. Hata wao Polisi wenyewe wanaweza kwenda kwa kushirikiana na majeshi ya Polisi kama ya Kenya au Ubeligiji au mtandao wa Polisi wa kimataifa (Interpol),” amesema Mikongoti.

Amesema Serikali inaweza kutumia ofisi za ubalozi kumhoji Lissu na dereva wake tangu alipokuwa nchini Kenya na Ubeligiji.

“Tuna ubalozi Kenya, tuna ubalozi Ubeligiji wangeweza kutuma maofisa wao kwenda kumhoji. Sijui kwa nini hawajamhoji, wao wenyewe wanajua, lakini kuna sheria inayoitwa Mutual assistance in criminal matters, inayotoa mwongozo wa kwenda kuhoji watu kama hao,” amesema.

Mmoja wa mawakili ambaye hakutaka jina lake kuwekwa wazi amesema Jeshi la Polisi halina sababu ya msingi la kushindwa kumhoji Lissu popote alipo duniani.

“Issue (suala) si sheria, Jeshi la Polisi linapotakiwa kumhoji mtu, kama nje ya nchi na hasa alipokuwa Kenya alipopata fahamu wangekwemda kumhoji. Kwa hiyo wanaweza kumhoji mahali popote hakuna kitu chochote kinachozuia kwenda kumhoji,” alisema wakili huyo.

“Hata kama mtu ni shahidi muhimu na yuko nje ya nchi na imekuwa ngumu kumleta, Jeshi la Polisi linakwenda kumhoji. Sioni kama ni defence kwamba hajahojiwa,” amesema.

Amesema Jeshi la Polisi katika upelelezi linaweza kwenda popote, hata kama ni Marekani.

“Ni ngumu kutetea kwamba Jeshi la Polisi limeshindwa kuendelea na upelelezi kwa sababu halikwenda kumhoji, haiingii akilini,” alisisitiza wakili huyo.

Wakili mwingine kwa sharti la kutotajwa jina amesema pia ameitaja sheria hiyo ya kusaidiana katika masuala ya jinai.

“Kifungu cha 14(1)(b)(ii) kinaeleza bayana, unapokuwa Tanzania kuna uchunguzi wa jinai unafanyika, halafu kuna mtu mwenye ushahidi muhimu lakini hayupo Tanzania, Mwanasheria mkuu akiona ushahidi muhimu anachukua mamlaka ya kuwasiliana na nchi nyingine ili wachukue ushahidi kule aliko mtu,” amesema wakili huyo.

“Iwe Kenya iwe Ubelgiji, yaani kwa hali ya kawaida, mgonjwa alazwe Uingereza halafu muache kuchunguza ugaidi?” Alihoji.

Ametaja pia mabadiliko ya sheria ya ushahidi ya 2017 yalifanyika ili kuendana na kasi ya teknolojia akisema mtuhumiwa au mwathirika anaweza kuhojiwa popote alipo duniani kwa njia za mawasiliano ya elektroniki.

“Mabadiliko hayo yaliyotanguliwa na mahakama za juu nchini, Polisi wanaweza kuhoji mtu akiwa nje ya nchi. Wewe ni askari wa upelelezi unaweza kuyarekodi maelezo yenu kwa njia ya video, si unamwona kule kule anatoa ushahidi? Kwa nini ishindikane kumhoji mtu aliye Nairobi au Ubeligiji?” Amehoji.

Amesema njia ya tatu ya kutuma watu alipo mwathirika wa tukio ili kumhoji akisema pia inawezekana.

“Haiwezekani maisha yakasimama 2019 eti kwa sababu mtu hayupo nchini,” amesisitiza.
     

Tufunge mjadala, waliompiga Lisu wanajulikana hawawezi kujichunguza. kama hakuna international interventon, tufunge mjadala tusubiri utaratibu nje ya sheria kupata haki
 
Sasa wanashindwa nini kwenda kuwahoji?

Kwanini hata Nairobi hamkwenda?

Na ni kwanini Polisi hawakumuhoji dereva wa Lissu pale hospitali ya mkoa wa Dodoma siku ile ya tukio?
Hii ni geresha yule mtu (dereva) alikuwepo maeneo yote
Area D kwenye tukio.
Hospitalini muda wote
Airport kusindikiza bosi wake. Sema police wamemkumbuka siku 2 baadaye tena akiwa ameshasafiri kwenda Kenya.

Nia ya kufanya upelelezi haukwepo, na ndiyo maana wiki mbili baadaye IGP alitoa taarifa, ya kufungwa jalada la upelelezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Baadhi ya wanasheria wameshangazwa na Jeshi la Polisi kushindwa kumhoji mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu na dereva wake.

Wamesema sheria na utaratibu wa jeshi hilo unaliwezesha kuendelea na uchunguzi hata kama mbunge huyo yuko nje ya nchi.

Wakizungumza na Mwananchi leo Jumatatu Februari 11, 2019 baadhi ya wanasheria wametaja sheria zinazowezesha Jeshi la Polisi kumhoji mtuhumiwa au mtu yeyote wa tukio la jinai akiwa popote duniani.

Ijumaa iliyopita Februari 8, 2019 Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola alilieleza Bunge kuwa kesi ya kushambuliwa kwa risasi Lissu imeshindwa kuendelea kutokana na mbunge huyo pamoja na dereva wake kushindwa kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi kwani wao ndio mashuhuda muhimu wa tukio hilo.

Lugola alisema hayo alipokuwa akijibu hoja za wabunge waliokuwa wakichangia taarifa ya kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama.

Lugola alisema siku ya tukio hilo Septemba 7, 2017 ndani ya gari, Lissu alikuwa na dereva wake ambao ni mashuhuda muhimu katika kesi hiyo.
Lissu alishambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 mchana wa Septemba 7, 2017 katika makazi yake Area D jijini Dodoma akitoka kuhudhuria vikao bungeni ambapo kwa sasa ametoka hospitali na anaendelea na ziara barani Ulaya na Marekani.

Lissu amekuwa akihoji sababu ya Jeshi la Polisi kutomhoji tangu alipokuwa Nairobi, Kenya, huku pia akishangazwa na hatua hiyo, akisema kama angefariki dunia polisi wangefanya nini.

Mwanasheria wa kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Paul Mikongoti ameitaja Sheria ya Kusaidiana kwenye mambo ya jinai (Mutual assistance in criminal matters) akisema ndiyo inayoliongoza Jeshi la Polisi kwenda kuhoji wahalifu au waathirika wa matukio ya jinai wakiwa nje ya nchi.

“Sheria zipo zinazoliwezesha Jeshi la Polisi kumhoji Lissu. Hata wao Polisi wenyewe wanaweza kwenda kwa kushirikiana na majeshi ya Polisi kama ya Kenya au Ubeligiji au mtandao wa Polisi wa kimataifa (Interpol),” amesema Mikongoti.

Amesema Serikali inaweza kutumia ofisi za ubalozi kumhoji Lissu na dereva wake tangu alipokuwa nchini Kenya na Ubeligiji.

“Tuna ubalozi Kenya, tuna ubalozi Ubeligiji wangeweza kutuma maofisa wao kwenda kumhoji. Sijui kwa nini hawajamhoji, wao wenyewe wanajua, lakini kuna sheria inayoitwa Mutual assistance in criminal matters, inayotoa mwongozo wa kwenda kuhoji watu kama hao,” amesema.

Mmoja wa mawakili ambaye hakutaka jina lake kuwekwa wazi amesema Jeshi la Polisi halina sababu ya msingi la kushindwa kumhoji Lissu popote alipo duniani.

“Issue (suala) si sheria, Jeshi la Polisi linapotakiwa kumhoji mtu, kama nje ya nchi na hasa alipokuwa Kenya alipopata fahamu wangekwemda kumhoji. Kwa hiyo wanaweza kumhoji mahali popote hakuna kitu chochote kinachozuia kwenda kumhoji,” alisema wakili huyo.

“Hata kama mtu ni shahidi muhimu na yuko nje ya nchi na imekuwa ngumu kumleta, Jeshi la Polisi linakwenda kumhoji. Sioni kama ni defence kwamba hajahojiwa,” amesema.

Amesema Jeshi la Polisi katika upelelezi linaweza kwenda popote, hata kama ni Marekani.

“Ni ngumu kutetea kwamba Jeshi la Polisi limeshindwa kuendelea na upelelezi kwa sababu halikwenda kumhoji, haiingii akilini,” alisisitiza wakili huyo.

Wakili mwingine kwa sharti la kutotajwa jina amesema pia ameitaja sheria hiyo ya kusaidiana katika masuala ya jinai.

“Kifungu cha 14(1)(b)(ii) kinaeleza bayana, unapokuwa Tanzania kuna uchunguzi wa jinai unafanyika, halafu kuna mtu mwenye ushahidi muhimu lakini hayupo Tanzania, Mwanasheria mkuu akiona ushahidi muhimu anachukua mamlaka ya kuwasiliana na nchi nyingine ili wachukue ushahidi kule aliko mtu,” amesema wakili huyo.

“Iwe Kenya iwe Ubelgiji, yaani kwa hali ya kawaida, mgonjwa alazwe Uingereza halafu muache kuchunguza ugaidi?” Alihoji.

Ametaja pia mabadiliko ya sheria ya ushahidi ya 2017 yalifanyika ili kuendana na kasi ya teknolojia akisema mtuhumiwa au mwathirika anaweza kuhojiwa popote alipo duniani kwa njia za mawasiliano ya elektroniki.

“Mabadiliko hayo yaliyotanguliwa na mahakama za juu nchini, Polisi wanaweza kuhoji mtu akiwa nje ya nchi. Wewe ni askari wa upelelezi unaweza kuyarekodi maelezo yenu kwa njia ya video, si unamwona kule kule anatoa ushahidi? Kwa nini ishindikane kumhoji mtu aliye Nairobi au Ubeligiji?” Amehoji.

Amesema njia ya tatu ya kutuma watu alipo mwathirika wa tukio ili kumhoji akisema pia inawezekana.

“Haiwezekani maisha yakasimama 2019 eti kwa sababu mtu hayupo nchini,” amesisitiza.
     
Hao mawakili watulie,uchunguzi ni taaluma za watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtasubiri miaka 4000 hilo halitatokea pamoja na njama zenu za kwenda msituni. Madaraka anapanga mwenyezi Mungu.
Povu na kiwewe chote hiki ni cha watu wenye uhakika wa kubaki madarakani kwa .muda wote huo ulioutaja?

Mko hapo kwa msaada wa dola na ndio maana mmekuja na sheria za hovyo hovyo kutaka kudhibiti upinzani baada ya kuona hata dola kuna wakati haitakuwa na uwezo wa kuendelea kuwabeba.
 
Sijawahi ona au sikia mtu anahojiwa kienyeji namna hii.
Umapomuhoji mtu, physical presence, kuongea nae face to face na kumsikia hata anavyovuta pumzi ni muhimu zaidi. Kwenye video conference au njia nyingine hupati true coorperation.

kwahyo wewe mwenzetu shida yako usikie tu pumzi za mhojiwa??umewah shiriki video conference?i mean tele conference😊...
 
Hii ni geresha yule mtu (dereva) alikuwepo maeneo yote
Area D kwenye tukio.
Hospitalini muda wote
Airport kusindikiza bosi wake. Sema police wamemkumbuka siku 2 baadaye tena akiwa ameshasafiri kwenda Kenya.

Nia ya kufanya upelelezi haukwepo, na ndiyo maana wiki mbili baadaye IGP alitoa taarifa, ya kufungwa jalada la upelelezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na pele Airport hata RPC alikuwepo mpaka dakika za mwisho ndege iliyombeba Lissu ilipoondoka.

Binafsi nilikuwepo Airport siku ile na nilishuhudia tukio zima la kuwasili, kupakiwa kwenye ndege na hata ndege kuondoka ingawa kwa hali aliokuwanayo Lissu nilipoteza kabisa matumaini ya yeye kupona.
 
Povu na kiwewe chote hiki ni cha watu wenye uhakika wa kubaki madarakani kwa .muda wote huo ulioutaja?

Mko hapo kwa msaada wa dola na ndio maana mmekuja na sheria za hovyo hovyo kutaka kudhibiti upinzani baada ya kuona hata dola kuna wakati haitakuwa na uwezo wa kuendelea kuwabeba.
Mtakalia majungu tu miaka yote npaka mzeeke, mkizidi sana mnasukumwa nyuma ya nondo kame ze chair of all times Mbowe
 
Sijawahi ona au sikia mtu anahojiwa kienyeji namna hii.
Umapomuhoji mtu, physical presence, kuongea nae face to face na kumsikia hata anavyovuta pumzi ni muhimu zaidi. Kwenye video conference au njia nyingine hupati true coorperation.
Basi mfuate ukamhoji.... tatizo wanalazimisha wakamuhoji "gizani"

Lengo ni Nini?
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom