Video Mauaji yaliyofanyika Musoma, Mara, Tanzania 02/18/2010 2 Comment(s)

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,268
33,040
Mauaji yaliyofanyika Musoma, Mara, Tanzania 02/18/2010
<!-- 221332087041811 --> 2 Comment(s)


mauaji haya ya kinyama yalifanyika katikati ya mwezi Februari 2010.
<embed type="application/x-shockwave-flash" src="http://v6.tinypic.com/player.swf?file=2ns6kpy&s=6" height="420" width="510">

Tafadhali zingatia kuwa video hii ina picha za kutisha na ikiwa hustahimili tafadhali usitizame.
<embed type="application/x-shockwave-flash" src="http://v6.tinypic.com/player.swf?file=s6oeok&s=6" height="460" width="580">​





http://www.wavuti.com/19/post/2010/02/mauaji-yaliyofanyika-musoma-mara-tanzania.html
 
pole Preta labda bado unatumia window 97,

nimefanikiwa kuona...sizani kama wale waliofanya vile ni binadamu,machozi yamenitoka...wale watoto wamekosa nini...binadamu amekuwaje siku hizi? nawaza sipati jibu
 
nimefanikiwa kuona...sizani kama wale waliofanya vile ni binadamu,machozi yamenitoka...wale watoto wamekosa nini...binadamu amekuwaje siku hizi? nawaza sipati jibu
yaah, inaumiza Preta, yule mtoto ambae panga limezama kisogoni , aaah nikitu kibaya kuwaza.
 
yaah, inaumiza Preta, yule mtoto ambae panga limezama kisogoni , aaah nikitu kibaya kuwaza.

mahali nilipochoka kabisa ni pale muuaji alipoanza wa kwanza...roho haikumuuma akaacha?...akakata wa pili, wa tatu mpaka wakafika 17 hiyo roho ni ipi?...hapo sasa vitabu vya dini vinapotuambia dhambi zote ni sawa ndipo panaponishinda
 
mahali nilipochoka kabisa ni pale muuaji alipoanza wa kwanza...roho haikumuuma akaacha?...akakata wa pili, wa tatu mpaka wakafika 17 hiyo roho ni ipi?...hapo sasa vitabu vya dini vinapotuambia dhambi zote ni sawa ndipo panaponishinda
eeeh, kazi kwelikweli, hivi nikumbushe Waziri wa mambo ya ndani mpaka leo amewahi kujitokeza hadharani kulaani haya mauaji ?
 
<TABLE border=0 cellSpacing=6 cellPadding=0 width="100%"><TBODY><TR><TD noWrap><!-- google_ad_section_start(weight=ignore) -->nguvumali<!-- google_ad_section_end -->
user_online.gif
<SCRIPT type=text/javascript> vbmenu_register("postmenu_830474", true); </SCRIPT>
JF Senior Expert Member
<TABLE cellSpacing=0 cellPadding=0 width="100%"><TBODY><TR style="BACKGROUND-IMAGE: url(https://www.jamiiforums.com/xperience/images/red_faded.png)"><TD height=11 width=5>
red_left.png
</TD><TD height=11 width="100%">
red.png
</TD><TD height=11 width=1>
red_right.png
</TD></TR></TBODY></TABLE><TABLE cellSpacing=0 cellPadding=0 width="100%"><TBODY><TR style="BACKGROUND-IMAGE: url(https://www.jamiiforums.com/xperience/images/green_faded.png)"><TD height=11 width=5>
green_left.png
<TD><TD height=11 width="100%">
green.png
<TD><TD height=11 width=1>
green_right.png
</TD></TR></TBODY></TABLE>​
</TD><TD width="100%"> </TD></TR></TBODY></TABLE>
Nguvumali na Preta mmenitisha naogopa hata kizifungua nisije angua kilio offisini bure.
 
<TABLE cellSpacing=6 cellPadding=0 width="100%" border=0><TBODY><TR><TD noWrap><!-- google_ad_section_start(weight=ignore) -->nguvumali<!-- google_ad_section_end -->
user_online.gif
<SCRIPT type=text/javascript> vbmenu_register("postmenu_830474", true); </SCRIPT>
JF Senior Expert Member
<TABLE cellSpacing=0 cellPadding=0 width="100%"><TBODY><TR style="BACKGROUND-IMAGE: url(https://www.jamiiforums.com/xperience/images/red_faded.png)"><TD width=5 height=11>
red_left.png
</TD><TD width="100%" height=11>
red.png
</TD><TD width=1 height=11>
red_right.png
</TD></TR></TBODY></TABLE><TABLE cellSpacing=0 cellPadding=0 width="100%"><TBODY><TR style="BACKGROUND-IMAGE: url(https://www.jamiiforums.com/xperience/images/green_faded.png)"><TD width=5 height=11>
green_left.png
<TD><TD width="100%" height=11>
green.png
<TD><TD width=1 height=11>
green_right.png
</TD></TR></TBODY></TABLE>​

</TD><TD width="100%"></TD></TR></TBODY></TABLE>
Nguvumali na Preta mmenitisha naogopa hata kizifungua nisije angua kilio offisini bure.

kama una moyo mwepesi usifungue...zinahuzunisha sana
 
eeeh, kazi kwelikweli, hivi nikumbushe Waziri wa mambo ya ndani mpaka leo amewahi kujitokeza hadharani kulaani haya mauaji ?

labda nimemsahau...hivi ni yule mkuu wa mkoa ndio waziri wa mambo ya ndani? maana mimi huwa ndio huyo namuona
 
once nnapoona hivi nasikia kama moyo unasimama. hili tukio linanikosesha usingizi.ni kama la yule mtoto aliekatwa kichwa kikapatwa muhimbili.when ilipotokea kila saa nilikua namwangalia mwanangu shingoni nalia tu.jamani utu uko wapi? ni shetani gani aliewaingia hawa watu? sasa hivo vitoto viliwakosa nini.? huyo aliezamishwa panga nichwani ndo inaniuma zaidi.
na jana nayo pia.. nina hofu kua mkoa wa mara itakua lango la mauaji tuu iwapo hatua za haraka na makini zisipochukuliwa.

najiuliza JE
1. ni ukosefu wa elimu kwa watu wa mara?
2. ni ukosefu wa hofu ya MUNGU kwa watu wa mara?
3.ni kulewa sifa ambazo wanapewa na watu wengi kua watu wa mara ni wajeuri,katili na kwamba kila mmoja ni mjesh??kwamba wanataka kuikumbusha jamii kua bado ni wakatili?? maana tangu utoto i was told kua watu wa mara ni katili... na tena ilikua mtu akileta mchumba toka mkoa huo atatengwa hadi na kijiji.

jamani its high time now watu tufunge na kuomba ili watu wawe na hofu ya mungu.tufanye special prayer for mara region.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom