Kibunago
JF-Expert Member
- Jan 11, 2008
- 300
- 122
Such a barbaric & inhuman horrendous act!
Hata mimi nimetoa machozi. Wafiwa wote poleni sana.
Nina imani wananchi wakishirikiana na vyombo vya dola wataweza kuwapata hao waliofanya vitendo vya kinyama ambavyo haviwezi kuvumiliwa popote.
Huu ni msiba wa Manispaa ya Musoma na Taifa kwa ujumla.
Hata mimi nimetoa machozi. Wafiwa wote poleni sana.
Nina imani wananchi wakishirikiana na vyombo vya dola wataweza kuwapata hao waliofanya vitendo vya kinyama ambavyo haviwezi kuvumiliwa popote.
Huu ni msiba wa Manispaa ya Musoma na Taifa kwa ujumla.