The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Mzuka wanajamvi!
Wezi na majambazi wetu Tanzania wanajitahidi sana kiwa na Staha. South Africa muna tisha kwa ujambazi tena bila aibu. Ni nchi gani mihalifu haijionei aibuwala kuogopa licha ya kujua kuna CCtv.
Nilikuwa na mpango wa kutembelea sauz kwa ajili ya watoto wakali sasa nimeghair baada ya kuangalia hizi video zilizonas matukio ya kuogofya.
Wezi na majambazi wetu Tanzania wanajitahidi sana kiwa na Staha. South Africa muna tisha kwa ujambazi tena bila aibu. Ni nchi gani mihalifu haijionei aibuwala kuogopa licha ya kujua kuna CCtv.
Nilikuwa na mpango wa kutembelea sauz kwa ajili ya watoto wakali sasa nimeghair baada ya kuangalia hizi video zilizonas matukio ya kuogofya.
- WanJF mnaoishi sauz hivi kweli mkitoka nja manajisia salama? Ng'wanapagi Isanga family mshana
Jrhttps://m.youtube.com/watch?v=qayW_N8OcMA