Video: Mashabiki wadai pesa zao baada ya alikiba kushindwa kufanya show Dodoma

SniperBoi

JF-Expert Member
Feb 3, 2016
1,103
1,125


Mwanamuziki alikiba ashindwa kutumbuiza katika tamasha la muziki, Dodoma Disemba 25 baada ya kufika kwa kuchelewa akitokea Nairobi.
 
Haters mnajitahid sana kuleta mada za kumchafua but as usual the King will always put u on shame.
 
Kiba Hana mashabiki,isipokuwa wale wanaozichukia juhudi binafsi za diamondi ndio wanajidai vishabiki vyake.
Kwa ka ukumbi kama hako ka vikao vya harusi atakuwa amelipwa c juu ya million 2 mpaka 3 hivi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom