Uwezo wako wa kujiongeza na kuchanganua mambo nadhani u mdogo.Kumuelewa inatakiwa uwe na phd ya ujinga kama uliyo nayo ww kwaiyo ww umeamini kabisa ayo aliyoandika hapo yana kweli wa aina yoyote ile
Uwezo wako wa kujiongeza na kuchanganua mambo nadhani u mdogo.Kumuelewa inatakiwa uwe na phd ya ujinga kama uliyo nayo ww kwaiyo ww umeamini kabisa ayo aliyoandika hapo yana kweli wa aina yoyote ile
Yaani hawa jamaa huwa wanaposema eti vyombo vya magharibi vina propaganda huwa nashindwa hata kuwaelewa...yaani hata sijua akili zao zinawazaga nini...Maana wanachokiona kwenye vyombo vya pro east ndio hivyo hivyo navyoviona CNN na kwingine....Ila kiuhalisia vyombo vya east vimezid prob sababu vinakuwa monitored na serikali kiasi kwamba wao wanabaki kusifia tuu...Tofautin kabisa na CNN.Yote unayoyasema nimeyaona CNN na FOX had hayo maandamano. Saa nyingine acheni kuvionea na kuvisingizia vyombo vya magharibi.
Iko njema sana hii. Higly sophisticated war technology hadi raha. Kiduku na yale malori yake ya kirusi ya mwaka 47 kazi anayo. Kitu cha kwanza kabisa atakachofanyiwa NK; dakika chache kabla vita haijaanza rasmi ni kukatiwa na/au kuvurugiwa mawasiliano yote kama wajenzi wa mnara ule wa Babeli. Baada ya hapo ni kichapo cha mbwa mwizi. Mkiona kiwiliwili cha Kiduku kikining'inia pembezoni mwa barabara ni ishara vita imekwisha na tumwombe Mola hatua hii ifikiwe haraka dunia iendelee kuwa mahali salama kwa binadamu. Inshallah.
Mbona pro mapank wanasema U.S. amesurrender?
Mi nadhani wanaset namna nzuri ya kumpiga bila ya yeye kurusha hata kombola moja.....Ni swala la kusubiri....US hawashindwi wale na wameshasema "ALL OPTIONS ARE ON THE TABLE"US amesurrender, angekuwa hajasurrender angekuwa ameshalianzisha muda mrefu.
Mwaka 1990 nchini IRAQ US walifanywaje?Mi nadhani wanaset namna nzuri ya kumpiga bila ya yeye kurusha hata kombola moja.....Ni swala la kusubiri....US hawashindwi wale na wameshasema "ALL OPTIONS ARE ON THE TABLE"
Kama hotuba za Trump unazisikiliza ungefahamu kama yote ni mikwara na kumpa pressure Kim akubali matakwa ya USAMi nadhani wanaset namna nzuri ya kumpiga bila ya yeye kurusha hata kombola moja.....Ni swala la kusubiri....US hawashindwi wale na wameshasema "ALL OPTIONS ARE ON THE TABLE"
Mbona mbwembwe nyingi? Si ajaribu kumgusa aoene mbona anaogopa sasa?Iko njema sana hii. Higly sophisticated war technology hadi raha. Kiduku na yale malori yake ya kirusi ya mwaka 47 kazi anayo. Kitu cha kwanza kabisa atakachofanyiwa NK; dakika chache kabla vita haijaanza rasmi ni kukatiwa na/au kuvurugiwa mawasiliano yote kama wajenzi wa mnara ule wa Babeli. Baada ya hapo ni kichapo cha mbwa mwizi. Mkiona kiwiliwili cha Kiduku kikining'inia pembezoni mwa barabara ni ishara vita imekwisha na tumwombe Mola hatua hii ifikiwe haraka dunia iendelee kuwa mahali salama kwa binadamu. Inshallah.
Mwaka 1990 nchini IRAQ US walifanywaje?