Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,524
nyuzi za ccm ziko chungu tele mbona mnang'ang'ania huku tu ?
Hili ni jukwaa huru, kama unabagua wachangiaji basi weka disclaimer wapiga kura tusing'ang'anie nyuzi zako kamanda.
nyuzi za ccm ziko chungu tele mbona mnang'ang'ania huku tu ?
hamna hoja sasa!Hili ni jukwaa huru, kama unabagua wachangiaji basi weka disclaimer wapiga kura tusing'ang'anie nyuzi zako kamanda.
Takataka ni mamako, babako na mkeoMbowe mjanja sana, yeye anarudi Bungeni lkn yule takataka ndo kwisha habari yake, na baada ya Oktoba 28 hata hela za kujikimu chadema hawatampa, ...
una umri gani ?Mmh haya, ngoja tuone. Maana kama mafuriko ni kutafuta shoroba na kuweka wanachama Mbowe anapigwa kweupeee jua halijakolea
Wale ni wahuni wa uvccm walitumwa kuigizaIle nyimbo Hatimtaki huyo Mbowe aliimbiwa kwenye mafuriko ya kata gani vile? 🤣🤣
News zao hakuna anayesoma heading tu wasepanyuzi za ccm ziko chungu tele mbona mnang'ang'ania huku tu ?
Chezea Chadema weweeeeMbowe mjanja sana, yeye anarudi Bungeni lkn yule takataka ndo kwisha habari yake, na baada ya Oktoba 28 hata hela za kujikimu chadema hawatampa, ...
HahahaaKweli maji shingoni hata kwenda kumsaidia Rais wake kwenye kampeni imekua ngumu?
Harudi bungeni ng'ooooKamanda Wa Anga Philemon Aikaeli Mbowe
Takataka ni mgombea wenu anayetaka sugu akamkazeMbowe mjanja sana, yeye anarudi Bungeni lkn yule takataka ndo kwisha habari yake, na baada ya Oktoba 28 hata hela za kujikimu chadema hawatampa, ...
Jfulitaka nizitupie hapa?
Tangu 28 Oktoba-01 Novemba,nikuhesabu.tu mkuuHarudi bungeni ng'oooo
Tukutane tar 1 Nov kura zitakuwa zimeahahesabi a na matokeo yametolewa
Kwa kadri ya macho yangu Mkutano huu wa kata ya Machame waweza kuwa umevunja rekodi ya mikutano ya kisiasa iliyowahi kufanyika kwenye jimbo la Hai.
Hakika kumtoa mtu huyu kwenye jimbo hili kunahitajika wapiga kura wapya kabisa, ama labda wazaliwe watu wapya wengine Hai nzima .
TOKA UMARUFU ALIOKUANAO UMESHUKA KIASI HICHO MPAKA AMEANZA KUUBUSTI KWA KUKANYAGA KANGA ZA WANAWAKE. HII KIKI INABUMA, NA UBUNGE ATAGARAGAZWA ASUBUHI SAANA. AKANYAGE HIZO KANGA KWA MARA YA MWISHO.
Kwani hjujuiTangu 28 Oktoba-01 Novemba,nikuhesabu.tu mkuu