Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
Kwakweli hadi siku ya uchaguzi ikifika mshindi wa jimbo akatangazwa awe wa chama chochote anastahili hayo malipo ya ubunge kwakuweza tu kuvuka icho kihunzi na makeke yake.
Sio shughuli ndogo kabisa kugombea ubunge Tanzania, hapa ndio mwanzo tu huko mbeleni ata ingekuwa mimi mganga lazima ahusike.
Halafu unakuta mtu ana familia anataka kuacha nafasi ya uhakika huko kwenye serikali ya mkoa au wilaya akajiingize kwenye mchezo wa pata potea ya kugombea ubunge, ama kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.
Sio shughuli ndogo kabisa kugombea ubunge Tanzania, hapa ndio mwanzo tu huko mbeleni ata ingekuwa mimi mganga lazima ahusike.
Halafu unakuta mtu ana familia anataka kuacha nafasi ya uhakika huko kwenye serikali ya mkoa au wilaya akajiingize kwenye mchezo wa pata potea ya kugombea ubunge, ama kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.