Video: Maoni ya Mzee Kasyupa Lumuli Alipipi kuhusu Miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika

Who are you? Mpaka umsemee Mungu?? Mimi nimwtumia neno Labda yuko kwa Mungu wake wewe unakuja na utopolo wako eti kwa sababu alikunyoosha kwenye wizi na uuza madawa ya kulevya wako!!
Magufuli alifariki 17/03/2021
 
Msikilize hapa:



Video pia ipo Twitter katika akaunti ya Martin Maranja Masese na kaandika hivi


"Lumuli Alipipi Kasyupa, mbunge wa zamani wa Kyela, 1970-1975, msikilize mzee wetu huyu, kuna wakati bado wakiwa hai, tutawavisha nishani kwa kusema ukweli hata kama watawala waliziba masikio. Demokrasia baada ya miaka 60 ya uhuru ni mbovu sana. Wazee wanazungumza vijana tunaogopa."

HAWA NI WAZEE WA KWELI WALIOBAKI, SIO VIONGOZI WADINI, WAZEE WA CCM , WASTAAFU WA CCM NA SERIKALI WAANDAMIZI HAWANA BUSARA YA KUKEMEA MATENDO MABAYA YA KIMAADILI YA WAZI KABISA ALIYOTENDA NA KULETA SURA MBAYA YA DEMOKRASIA .....ETI NAKUPA GARI...mshahara...alafu umtangaze mpinzani....kwa kiongozi wa nchi limeharibu Sana, utengenezaji wake unatakiwa kwa haraka Sana...limeleta madhara maabaya kwenye jamii hii kuliko tunavyokaa kimya
 
Shida ni kuwa wewe umeanza kumfahamu huyu mzee alipohamia kwenye SACCOS yenu sisi wengine tunamfahamu kabla hata wewe hujamjua,mengine hatutaki kuyasema hapa tusije tukamvunjia heshima huyu mzee,mwache tu apumzike, kuongea na kulaumu serikali ni haki yake kikatiba sawa na wewe ulivyo na haki yako ya kumsemea gaidi kila kunapokuchwa hapa JF.
Nilimfahamu Kasyupa kwenye eneo linaloitwa Mpiki Kimbwala , kijiji cha Bukinga huko Ipande , akiwa kwenye kampeni mwaka 1980 , wewe wa kunifahamisha mimi kuhusu Kasyupa !
 
Nilimfahamu Kasyupa kwenye eneo linaloitwa Mpiki Kimbwala , kijiji cha Bukinga huko Ipande , akiwa kwenye kampeni mwaka 1980 , wewe wa kunifahamisha mimi kuhusu Kasyupa !
Wacha nikae kimya sababu nikizidi kusema nitakuwa nazidi kumwaga mtama kwenye kuku wengi.
 
aongee na ss wenziwe ambao bado tupo hai,alipaswa aongee kpnd yu hai,akiongea ss hv tunamuita ni wale wanasiasa wasiojielewa ,wenye siasa za umalaya umalaya hivi(in mwal.voice)
Ulitaka akutwe kwny viroba huko baharini 😁😁
 
Back
Top Bottom