kiwandayi Member May 24, 2015 90 64 Aug 20, 2016 #4 "When are you coming to South Africa?" Interesting
A Andrew123 JF-Expert Member Jun 2, 2012 7,022 8,522 Oct 15, 2016 #5 Hawa ndo wazee walioacha mark kwenye uongozi wao.
Slim5 JF-Expert Member Jan 7, 2014 28,106 37,641 Oct 15, 2016 #6 andreakalima said: Hawa ndo wazee walioacha mark kwenye uongozi wao. Click to expand... Wapo wengi. Plus huyu wa jana. Katuachia vingi tu.
andreakalima said: Hawa ndo wazee walioacha mark kwenye uongozi wao. Click to expand... Wapo wengi. Plus huyu wa jana. Katuachia vingi tu.
A Andrew123 JF-Expert Member Jun 2, 2012 7,022 8,522 Oct 15, 2016 #7 Slim 5 huyu wa jana. Ni kweli katuachia vingi vya maana. Alikuwa na maono ya mbali sana
Slim5 JF-Expert Member Jan 7, 2014 28,106 37,641 Oct 15, 2016 #8 andreakalima said: Slim 5 huyu wa jana. Ni kweli katuachia vingi vya maana. Alikuwa na maono ya mbali sana Click to expand... Sana Mkuu. Tatizo warithi wake tu.
andreakalima said: Slim 5 huyu wa jana. Ni kweli katuachia vingi vya maana. Alikuwa na maono ya mbali sana Click to expand... Sana Mkuu. Tatizo warithi wake tu.
Ngurubhe JF-Expert Member Jul 26, 2014 1,840 1,047 Oct 15, 2016 #9 Ajabu sana,then walikuwa wanawasliana kwa kutumia translators yamkini ingekuwa zaidi km tu wangekuwa na lugha moja
Ajabu sana,then walikuwa wanawasliana kwa kutumia translators yamkini ingekuwa zaidi km tu wangekuwa na lugha moja