VIDEO : Manara azomewa na mashabiki baada ya Yanga kula Kichapo

Aug 24, 2021
72
65
Baada ya timu ya wananchi kuchezea kichapo katika siku ya tamasha lao pendwa.
Msemaji wa mpya Haji Manara aka Bugatti amerekodiwa akizomewa na mashbiki wenye hasira kali.

#PoleSanaManara
 
Kapumbu
Screenshot_20210829-235831_Facebook.jpg
 
Wanakwambia ile ni mechi tu ya kirafiki atuwezi kuumia nafsi,swali linakuja,"kwanini mlishangilia Makambo alipofunga goli?
Kama mlipofunga mlishangilia ndo hivyohivyo mkifungwa mtaumia nafsi.
"uwezi kuukimbia ukweli abadan"
 
Back
Top Bottom