Uchaguzi 2020 Video: Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu aingia Mlimani City kununua mahitaji ya nyumbani

Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama

Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo

Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura
ni kweli ila Hapo kwenye kujaza watu mikutanoni kwake umesahau kuwataja washirika wengine Diamond , konde boy , Alikiba na Zuchu n.k
 
Mimi na yeye nani slave kwani umeshaniona nikiforce kiingereza kama yeye mwambie ukweli analiaibisha Taifa wakati yeye ni Phd holder
Mkuu kiingereza ni lugha kama lugha zingine tu mtu anaweza kukosea kama ambavyo anakosea kwenye lugha nyingine na cha kushangaza wewe unashobokea hiyo lugha wakati wenye lugha hawaoni kabisa hayo makosa! Mkuu jitambue!!
 
8 October 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu atoa mrejesho wa siku ya leo


Baada ya kutoka Mlimani city Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu afika soko la Manzese, sehemu zote hizo zipo ndani ya jiji la Dar es Salaam lenye wapiga kura takriban milioni 4 na kufurahishwa kuona bidhaa mbalimbali ikiwemo za ndani ya nchi kama mchele wa Mbeya n.k
 
Mkuu kiingereza ni lugha kama lugha zingine tu mtu anaweza kukosea kama ambavyo anakosea kwenye lugha nyingine na cha kushangaza wewe unashobokea hiyo lugha wakati wenye lugha hawaoni kabisa hayo makosa! Mkuu jitambue!!
Mbona hujielewi wewe mtu kasoma Phd kwa ambayo kiingereza haitakiwi kuwa tatizo sasa anakuwa kama mwanafunzi wa darasa la tatu kweli nimeanza kuamini hiyo Phd ni fake
 
Mbona hujielewi wewe mtu kasoma Phd kwa ambayo kiingereza haitakiwi kuwa tatizo sasa anakuwa kama mwanafunzi wa darasa la tatu kweli nimeanza kuamini hiyo Phd ni fake
Uelewa wako ni mdogo wachina, wajapan, wakorea n.k. wanazo hizo PHD lakini hawaongei kabisa Kiingereza na wakiongea ni broken english sana tu. Nimekaa nao hata wajerumani na warusi. Mkuu tembea uone au jitahidi kusoma sana taarifa mbalimbali utajitambua!!
 
Uelewa wako ni mdogo wachina, wajapan, wakorea n.k. wanazo hizo PHD lakini hawaongei kabisa Kiingereza na wakiongea ni broken english sana tu. Nimekaa nao hata wajerumani na warusi. Mkuu tembea uone au jitahidi kusoma sana taarifa mbalimbali utajitambua!!
pumbavu wewe wachina na wakorea wanasoma hizo Phd zao kwa kikorea na kichina yani lugha zao sasa huyo jiwe lenu alitumia lugha gani wakati anasoma Phd yake? kiswahili? ndio maana nyie mafisiccm hamna akili kabisa
 
Lissu anapendwa bwana .. leo kaacha gumzo hapa Mlimani City. Watu walifurika mida ya saa kumi baada ya kutoka makazini wakijua watamkuta Rais wao.. bahati mbaya alishaondoka.

Amejua kutuletea neema hapa Game. Wateja walifurika sana leo tofauti na siku zingine.
 
Wafanyakazi wa Game Supermarket Mlimani City wakiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Tundu Lissu alipofika hapo leo Septemba 08, 2020 kujitafutia mahitaji binafsi.
EjzqBo_WkAELmeQ.jpg
 
Mwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi

kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu


Hapo mkuu, Unamsingizia na umeongeza chumvi, hawezi kuongea broken kama hiyo. 🤣🤣
 
N
Mwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi

kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu
alafu kuna watu wakapiga makofi😂😂😂😂😂😂😂😂 daah kuna watu wanafki nyie😂😂😂
 
Kiingereza cha Jiwe ni duni kuliko cha darasa la tatu.Si alipie British school apate tuition.
 
Ndio maana alimpoteza Ben saanane baada ya kugundua amemshtukia ana Phd fake

ni wakati wako nawewe kuendeleza kuhoji ukweli wa hiyo phd,ili kumuenzi kamanda mwenzako ben saanane,ili kuweza kukuza uchumi wa mwana chadema mmoja mmoja na kukuza uhuruwa kujieleza.

maana vijana kama vijana tuna shida ya kuto focus kwenye mambo ya msingi ndio maana hatuendelei.
 
Mkuu kiingereza ni lugha kama lugha zingine tu mtu anaweza kukosea kama ambavyo anakosea kwenye lugha nyingine na cha kushangaza wewe unashobokea hiyo lugha wakati wenye lugha hawaoni kabisa hayo makosa! Mkuu jitambue!!
Inauma eeh😆😆😆😆
 
ni wakati wako nawewe kuendeleza kuhoji ukweli wa hiyo phd,ili kumuenzi kamanda mwenzako ben saanane,ili kuweza kukuza uchumi wa mwana chadema mmoja mmoja na kukuza uhuruwa kujieleza.

maana vijana kama vijana tuna shida ya kuto focus kwenye mambo ya msingi ndio maana hatuendelei.
Alimuua Ben wetu tena kwa mikono yake. This issue of Ben8 will never rest until we get justice it hurts me so much. Ben bro don't worry
 
Back
Top Bottom