Wapinzani hawana jipya na hawawezi kumchafua mtu asiechafuka trh 28 kura zote kwa MagufuliBaba wa watu yupo zake Zanzibar akitimiza majukumu yake ya Kampeni, tuache kudhania, ni dhambi
Na kwanini wewe umehitimisha kuwa ni serikali ya ccm?
Sio sahihi kuihusianisha CCM na mambo usiyokuwa na uhakika nayo, kama hujui ni heri unyamazeMpaka sasa haijulikani.
Wengine wanasema kafara!
Nani kaitoa hiyo kafara?
Hatujui ni CCM, Laizer au Vyombo vya dola?
Tusubiri Pole Pole ataitisha Press na kusema wahusika ni Lissu na Chadema!
By Improving the mining business environment through establishment of 28 markets and 25 small mining centers in the country's mineral areas. to mention but a fewWhich actions?
Mbona juzi nyie chadema mmeuwa kada wa ccm njombe? Na mka choma ofisi za chadema arusha ili tu ccm ndo ionekane inahusika.Kwa sababu ni kawaida yao na Matukio ni kitu kinacho onekana /kusikika tofauti na Imani za kishirikina (Mkaafara) zisizo onekana au kuaminika na wengine.
Mbona juzi nyie chadema mmeuwa kada wa ccm njombe? Na mka choma ofisi za chadema arusha ili tu ccm ndo ionekane inahusika.
Hakuna hukumu ambayo mahakama imetoa kwa upinzani (chadema) bila upinzani (chadema)kuja kulalamikia mahakama ni CCM ata kama kesi sio za kisiasa.Hizi Kesi zipo Mahakamani ,subiri mpaka pale Mahakama itakapo thibitisha tuhuma hizi.
Hakuna hukumu ambayo mahakama imetoa kwa upinzani (chadema) bila upinzani (chadema)kuja kulalamikia mahakama ni CCM ata kama kesi sio za kisiasa.