Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,317
- 11,411
Hii hali ilitokea ghafla abiria walijikuta wakiwa wamezungukwa na magugu maji na majani eneo la Busisi Jijini Mwanza. Wakiwa ndani ya kivuko pasipo kuelewa nini kimetokea.
Habari zinasema kuwa ni Mzee mmoja ambaye aliamua kufanya hivyo kutokana na kuonesha kukasirishwa na wao kumwacha ng'ambo wakijifanya wana haraka sana.
Basi akawaacha waende waendako si wana haraka. Hapo kivuko kinaonekana kikiwa kimezungukwa na magugu maji na majani na hivyo kuwawia ugumu abiria kushuka.
Habari zinasema kuwa ni Mzee mmoja ambaye aliamua kufanya hivyo kutokana na kuonesha kukasirishwa na wao kumwacha ng'ambo wakijifanya wana haraka sana.
Basi akawaacha waende waendako si wana haraka. Hapo kivuko kinaonekana kikiwa kimezungukwa na magugu maji na majani na hivyo kuwawia ugumu abiria kushuka.