Nyie endeleeni na Uzushi wenu,haitabadilisha mawazo ya watanzania kumpigia kura Edward Lowassa
Watanzania hatutompigia kura Lowassa. Kumbuka hilo.
Wewe ni CCM sisi watanzania malofa na wapumbavu TULIOICHOKA CCM TUTAMPIGIA KURA LOWASSA.
Wengi tusio wapumbavu hatumpigii mgonjwa yule anaesahau hata jina la mkewe.
Wasalaam Sana
Lowassa akiwa Tabora alikaribishwa na Baba Askofu kutoa neno alitamka kwamba " Naomba mniombee na hasa ninyi Walutheri mnatakiwa kuomba zaidi ili awamu hii tupate Raisi mlutheri kwani nchi hii toka iumbwe walutheri hatujatoa Raisi , Raisi Nyerere alikua Mkatoliki, Raisi Mwinyi alikua muislamu, Raisi Mkapa alikua Mkatoliki na Raisi Kikwete ni muislamu, sasa elezea umma ulimaanisha kitu gani pale
Wasalaam Sana
Lowassa akiwa Tabora alikaribishwa na Baba Askofu kutoa neno alitamka kwamba " Naomba mniombee na hasa ninyi Walutheri mnatakiwa kuomba zaidi ili awamu hii tupate Raisi mlutheri kwani nchi hii toka iumbwe walutheri hatujatoa Raisi , Raisi Nyerere alikua Mkatoliki, Raisi Mwinyi alikua muislamu, Raisi Mkapa alikua Mkatoliki na Raisi Kikwete ni muislamu, sasa elezea umma ulimaanisha kitu gani pale
Team mabadiliko hawatakuja kwenye huu uzi
HUYU NAE ALIAHIDI KUSAKA WAWEZEKEZAJI WA VIWANDA KUJA TANZANIA.
" am a politicians". "I dont want to take
this time as saying so many political...."
"Simple and clear is only congregations to
you.."
"To the University Korindor... , Co...
Cor,.. Colimbia univeristy to the
assistance we are getting to this hospt"..