Video kwenye mabasi na maadili/mabusu/nusu uchi

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
13,636
19,733
z.jpeg

Tabia ya kuweka picha za video katika mabasi wakati wa safari hukusudia kupunguza uchovu wa safari. Katika basi kuna watu wa dini, umri, rika na kabila tofauti.

Aidha inaweza kutokea kukawa na mtu anasafiri na wakwe zake ama viongozi wa kidini. Kumbe video zinazowekwa ni muhimu kuzingatia maadili.

Imekuwepo tabia isiyofaa kimaadili ambako zinawekwa video ambazo zina vipindi (scene) chafu, zinazoonyesha ufanyikaji mapenzi, ama zinazoonyesha watu wako uchi ama wenye uchezaji usio maadili kiasi cha kuleta simanzi kwa wasafiri.
wapo wasanii wanaonyeshwa kwenye video wamevaa nguo za kulalia na embe linaonekana wazi, na wa kiume "tango" linaonekana wazi, hii ni mbaya na inaaribu maadali ya watoto wetu.

Kila basi ukipanga unawekewa bongo movie, wanatukana kabisa wazi, mfano "pumbavu " wewe, 'kichwa kama tumbo la madenge", "mweusi kama bi"chau" na matusi mengine, ila kwa kwenzetu wazungu wakitukana Neno linakatishwa, sijui bongo hawa Basata wanalipwa mwisho wa Mwezi ili nini, LAKINI KUNA MTU AKASEMA Kuna wabunge wasamii kule bungeni, hawawezi kubali hayo mambo yaondolewe.,wao ndio wanafuria.

Nashauri Baraza la sanaa kushirikiana na watu wa mabasi TABOA kuchuja maudhui yanayoonyeshwa kwenye basi maana wakati mwingine inaleta fadhaa kwa wasafiri.
 
Kwani zikiwekwa ni lazima uangalie? Ukiona hazikufai pita zako hivi👉👉👉👉👉

Eti wakwe, hivi una habari kuwa siku hizi hakuna watu wahuni kama wakwe?
 
kuna siku nlikuw natoka mtwara naelekea dar na tulikuwa tukiangalia movie iitwayo "what happen to Monday" sasa kuna scene moja daah.... 🙌🙌
Hiyo mikoa kawaida movie za hivyo na zile za kinamkojani, sema wawe wanapunguza sauti
 
Mtanzania haki au demokrasia ni bidhaa adimu sana.

Kupata katiba mpya tutegemee tu, hisani tokea kwa mambuzi.
 
Kuna wakati kitambo kidogo nlipanda basi moja kwenda moro.

Jamaa waliweka cd kuweka kuiplay kumbe cd ile ilikuwa ya mikasi.

Yale makelele ya ahh ahh ohh ohh.

Watu ndani wacha wapige kelele.

Abiria wengine wanasema yesu wangu,wengine astakafulahi.

Konda wacha aanze kutetemeka kuitoa

Ova
 
Kuna wakati kitambo kidogo nlipanda basi moja kwenda moro
Jamaa waliweka cd kuweka kuiplay kumbe cd ile ilikuwa ya mikasi
Yale makelele ya ahh ahh ohh ohh
Watu ndani wacha wapige kelele
Abiria wengine wanasema yesu wangu,wengine astakafulahi
Konda wacha aanze kutetemeka kuitoa

Ova
Aiseee .. hatari
 
Abiria katoa sh. 55000/= nauli, choo alipie, chakula anunue, maji na pipi umpe bure au anunue, hata picha za uchi anyimwe kuangalia. 😁🙃🙌
 
Kuna wakati kitambo kidogo nlipanda basi moja kwenda moro
Jamaa waliweka cd kuweka kuiplay kumbe cd ile ilikuwa ya mikasi
Yale makelele ya ahh ahh ohh ohh
Watu ndani wacha wapige kelele
Abiria wengine wanasema yesu wangu,wengine astakafulahi
Konda wacha aanze kutetemeka kuitoa

Ova
khaaaaah
 
Kuna wakati kitambo kidogo nlipanda basi moja kwenda moro.

Jamaa waliweka cd kuweka kuiplay kumbe cd ile ilikuwa ya mikasi.

Yale makelele ya ahh ahh ohh ohh.

Watu ndani wacha wapige kelele.

Abiria wengine wanasema yesu wangu,wengine astakafulahi.

Konda wacha aanze kutetemeka kuitoa

Ova
So sad, tunahitaji usimamizi wa hali ya juu kimaadili, japo najua zaidi ya nusu ya abiria wangetaka mikasi iendelee.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom