Ack
Member
- Dec 21, 2016
- 88
- 87
kiukweli wazungu ni mizigo katika swala la kutikisha mauno yao, huwa nahisi hata ukimpeleka kunako 6x6 atakukingia tu. Nimeamini baada ya kuona jamaa likizungusha kama demu wa kizaramo wakati mademu wa kizungu wanahangaika na kutikisa miili yao.
Hii video inaonyesha kundi la wanawake wakifundishwa kutingisha makalio yao, sasa naona jamaa limewafunika hahahaaaaaaaaaa
jionee mwenyewe.
Hii video inaonyesha kundi la wanawake wakifundishwa kutingisha makalio yao, sasa naona jamaa limewafunika hahahaaaaaaaaaa
jionee mwenyewe.