Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,742
Huyu si binadamu wa kawaida. Atakuwa na matatizo kichwani.CCM msimpuuze huyu.msidhani tabia hii ni kuwa anaonesha ana mapenzi sana na chama.muwe makini na watu hawa.
Hivi mbunge wa wapi huyu jamaniHuyu si binadamu wa kawaida. Atakuwa na matatizo kichwani.CCM msimpuuze huyu.msidhani tabia hii ni kuwa anaonesha ana mapenzi sana na chama.muwe makini na watu hawa.
View attachment 1232905
Hivi mbunge wa wapi huyu jamani
Anatia hadi kinyaa
Hajui kuwa hao wadudu wanaaweza kuuma au kudhuru maendeleo. Ecosystem inamfaa aweze kuwataambua wadudu kuwa wana faidaHuyu si binadamu wa kawaida. Atakuwa na matatizo kichwani.CCM msimpuuze huyu.msidhani tabia hii ni kuwa anaonesha ana mapenzi sana na chama.muwe makini na watu hawa.
View attachment 1232905
Huyu si binadamu wa kawaida. Atakuwa na matatizo kichwani.CCM msimpuuze huyu.msidhani tabia hii ni kuwa anaonesha ana mapenzi sana na chama.muwe makini na watu hawa.
View attachment 1232905
Mungu wangu... Eeh baba tuepushe na watu kama hawa wasije kuliangamiza taifaHuyu si binadamu wa kawaida. Atakuwa na matatizo kichwani.CCM msimpuuze huyu.msidhani tabia hii ni kuwa anaonesha ana mapenzi sana na chama.muwe makini na watu hawa.
View attachment 1232905
CCM hatu support kauli za kipuuzi kama hizo, huyo hizo ni kauli zake, na chama chetu hakina ujinga huo. Naamini CCM itampa adhabu ajue cha kuongea mbele ya hadhira akiomba kura au anyimwe haki ya kugombea