Video: Kumbe kabla Rais Samia kwenda kwenye UNGA - New York , waziri Liberata Mulamula alitangulia mwezi mmoja kabla. Why..?

Mkuu umemaliza kila kitu. Barikiwa.
Kazi ya balozi wa Tanzania huko ni kulinda benki na kucheza gwaride kama mapolisi? Kwanini mwendazake aliwaachia majukumu yote mabolizi? Heb u tumieni kichwa basi katika hadaa zenu.
 
Hilo la yeye kuwa hai au kutokuwa hai kwa sasa mimi silijui na halina maana yoyote kwenye hilo nililolisema,mimi nimezungumzia siku chache kabla ya Jiwe kuzikwa Chato muda ambao Lissu alitoa hiyo taarifa...Mimi nazungumzia uongo wa Lissu wa kusema mtu kafa na kesho yake tunamuona huyo mtu akiwa hai..
Magufuli alidanganya na kupotosha mangapi? Au kwa vile yeye alikuwa "yesu" wenu? Stupid
 
Acha ushamba mkuu..mimi ni anti-magu 100%....nachoongea hapa ni facts..sio kila anachosema Lissu ni ukweli.
Magufuli alidanganya na kupotosha mangapi? Au kwa vile yeye alikuwa "yesu" wenu? Stupid
 
Huo ni uongo na unafiki, Biden hakuweza kiafya kukutana na maraisi wengi, na protocol ya USA ulitaka Maraisi wa nchi nyingi wakutane na makamu wa Raisi wa USA , hilo lilikataliwa na nchi nyingi, kwani sio protocol na ingekuwa kujivunjia heshima, kama baadhi ya maraisi waliokubali kukutana na VP.

..naitilia mashaka hoja yako.

..ungesema tu kwamba Maraisi wachache ndio hupata fursa ya kukutana na Raisi wa Marekani wakati wa mkutano wa UNGA unaofanyika kila mwaka.

..Marekani hupenda kuwa karibu na Maraisi wenye ushawishi ktk ukanda na maeneo wanakotokea.

..Kwa sasa hivi Rais SSH hana ushawishi ktk siasa na diplomasia za Afrika hivyo sio rahisi kwa Marekani kumchukulia kwa uzito na kuwa karibu naye.
 
Acha ushamba mkuu..mimi ni anti-magu 100%....nachoongea hapa ni facts..sio kila anachosema Lissu ni ukweli.
Hizo facts zako hukuziona kwa Magu? Magu alituambia anajenga miundombinu kwa pesa zetu za ndani, kumbe ni mikopo na misaada kutoka nje, hukuona hilo kwenye facts zako? Acha upuuzi basi
 
lissu haaminiki tena, halaf kwa hizi hojs wapinzani ndo mnataka tuwape dola?? leteni mikakati yenu mkipata dola mtafanya nn siyo majungu ya aliyekuwepo anafanya nn
 
Hata siku moja hupangilii muda wa kukutana na Raisi wa Marekani/makamu wake kwa kipindi cha mwezi mmoja. Ni lazima uwe umeplan zaidi ya miezi mitatu kabla hujapata huo muda. Kipindi kile nchi nyingi zinapanga kukutana na Raisi huyu katika mkutano huo.

Kwa mwaka huu Rais wa Marekani alikutana na zaidi ya viongozi 25 katika mkutano ule. Nao walipanga miezi mitano mpaka mwaka kabla.

Hivyo sikubaliani kuwa Waziri wetu wa mambo ya nchi za nje eti alihanhaika mwezi mzima akitafuta nafasi ya Rais wetu kupiga picha na Baiden - Hii siikubali. Kama Mama alivyosema alikutana na vikundi vingi na viongozi wa nchi mbali mbali - Hiyo ndio kazi aliyoifanya Waziri wetu Wa nchi za nje kwa mwezi mmoja nchini Marekani. Hiyo ya kupanga mipango ya mikutano si kitu rahisi.
Mkuu huyu Hichilema alichaguliwa lini? na walimfanyia mpango wa kuingia white house na kuonana na viongozi waandamizi wa Marekani lini?
 
Folks of your kind ultimately got to get back to the class cause there’s plenty you know nothing about, I suggest you be my guest…..
8 Black Inventors Who Made Daily Life Easier | HISTORY
Akili zako hazina akili , unapuyanga tu huelewi chochote
KWAHIYO TUWAABUDIE WAZUNGU! Kwa maneno mengine Nyerere alikuwa mpumbavu na mjinga kudai uhuru, yaani tungeendelea kutawaliwa au sio! Du, kweli shule mali.
Nye nye nye .. Shule mali ehee Nyerere aliodai uhuru kwa wazungu ehee..
Jiangalie kwenye kioo huna tofauti kabisa kabisa kwa muonenekano mpaka akili..

447D90BA-2F5C-46EE-B259-FF8FABEA0EA2.jpeg
 
Mkuu huyu Hichilema alichaguliwa lini? na walimfanyia mpango wa kuingia white house na kuonana na viongozi waandamizi wa Marekani lini?
Wanasema eti Jo alikuwa anaumwa. Sasa si ndio ulikuwa muda mzuri wa kwenda kumpa pole Mgonjwa??

😅😅😅
 
Hizo facts zako hukuziona kwa Magu? Magu alituambia anajenga miundombinu kwa pesa zetu za ndani, kumbe ni mikopo na misaada kutoka nje, hukuona hilo kwenye facts zako? Acha upuuzi basi
Sijawahi kuwaza kama jf kuna mbumbumbu kiasi hiki...sorry to say that.

Mimi naongea kauli ya Lissu wewe unaleta mambo ya Magu kuwa muongo..inahusiana vipi?
 
Akili zako hazina akili , unapuyanga tu huelewi chochote

Nye nye nye .. Shule mali ehee Nyerere aliodai uhuru kwa wazungu ehee..
Jiangalie kwenye kioo huna tofauti kabisa kabisa kwa muonenekano mpaka akili..

View attachment 1972997
Wewe unawaona wazungu walodondokewa na utajiri tu ghafla bin vuu bila kula msoto pengine hata zaidi yetu, nimekuwekea maisha ya wazungu sehemu malimbali, Arizona USA, England, France n.k…. Miaka ya 1900s sio hata 1600 au 1000 huko…. Jitafakari, hatuko mbali sana kimaendeleo japo hatuko vizuri…

08046C19-64EB-4C56-A05C-B4A23ACE69BE.jpeg


31EE69D0-0AF6-4A14-BE46-92E3F5FE6964.jpeg


BB39AA01-F90D-4C96-A55A-C0ACA080DED0.jpeg


681711E3-4CCC-4113-94A3-B833F5B99155.jpeg


FA4C11F2-7512-4799-AD6C-41BDEA3E717B.jpeg


59875B78-BC77-43C8-A02C-C228DE438D2A.jpeg


E806E47C-B0A7-4A57-AC5D-96E4941B1C98.jpeg


1104337E-C6C8-4D83-9019-0AA3B96A9AEC.jpeg
 
Imagine na Camera zilishakuwepo tayari, wewe ukionyeshwa Nairobi ya maghorofa hautaamini ukiambiwa kuna slam za kibera hapo hapo Nai… kuna Wazungu mpaka kesho wamechoka kushinda hao unaowaita nyani, mpaka unajiuliza hawa nao ni jamii ili ile ya kina Isaac Newton!
 
Wewe unawaona wazungu walodondokewa na utajiri tu ghafla bin vuu bila kula msoto pengine hata zaidi yetu, nimekuwekea maisha ya wazungu sehemu malimbali, Arizona USA, England, France n.k…. Miaka ya 1900s sio hata 1600 au 1000 huko…. Jitafakari, hatuko mbali sana kimaendeleo japo hatuko vizuri…

View attachment 1974520

View attachment 1974521

View attachment 1974522

View attachment 1974523

View attachment 1974524

View attachment 1974525

View attachment 1974526

View attachment 1974527
Akili yako haina akili.
 
You may not like this. But it happened...

Kumbe bwana, kabla ya Rais Samia Hassan kuhudhuria summit ya kikao cha UNGA, NewYork wiki kadhaa zilizopita, balozi Liberata Mulamula, waziri wa mambo ya kigeni alitangulia mwezi mmoja kabla....

Shida siyo Balozi Mulamula kuwahi kutangulia mwezi mmoja kabla bali kilichonishitua mimi ni sababu za kuwahi kwake mapema kama anavyosema Tundu Lissu hapo...

Kwamba, eti ni ili kumwandalia Rais nafasi ya kukutana na Rais Joe Biden na kupiga picha naye. Bahati mbaya alikataliwa, hakupata kwa sababu zinazoelezwa kuwa ni utawala wake kuinajisi demokrasia nchini kwake...!

Na kama asemayo TL ni kweli [na ni kama kweli kwa 100%], basi bila shaka utawala wa CCM unàelekea ukingoni kwa sababu haiwezekani propaganda na udanganyifu uvuke mipaka mpaka kwa Rais Joe Biden wa USA...!!

Thank God kwa kuwa hawakufanikiwa kupitisha upuuzi wao kwa taifa hilo kubwa na rafiki yetu....

Msikilize Tundu Lissu...
View attachment 1970431
Ukimsikiliza mwendawazimu na wewe unakuwa sawa na mwendawazimu
 
Tundu ni fabricator mzuri sana. Alikuwa washington akiwafwatilia viongozi wake kwamba wamekuja kufanya nini akakuta wamekuja kupiga picha na viongozi wa mataifa makubwa.

Sisi tumefwatilia kila kitu ikiwemo jitihada za raisi kutangaza utalii na kuonana na viongozi wengi kulingana na ratiba yake alipokuwa Marekani.
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom