Video: Kova azungumzia sakata la Jerry Muro

babukijana

JF-Expert Member
Jul 21, 2009
12,894
15,636
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=cl2Ow-Goxvc[/ame]
haya sheshe ndo hilo,na jamaa kakutwa na pingu na bastola risiti hana,watu wengine unawaona kama watiifu kumbe ni majambazi na waporaji,sasa hii unaweza sema polisi walimbambikia lakini inaonekana jamaa nae kabugi mahali,naona polisi wameamua tu kumshtua kama anajisahau kama na yéye mchafu vilevile.
 
Naombeni msaada wa kuweka hilo sakata kwa maandishi tafadhali siwezi kudownload.
 
Mimi nimefanikiwa kuziona lakini zinamix kidogo mlolongo wake, actually jamaa wameshilia ishu ya pingu na jerry ameimbiwa apeleke risiti na polisi wanaruka kuwa haina connection na hilo
 
haya sheshe ndo hilo,na jamaa kakutwa na pingu na bastola risiti hana,watu wengine unawaona kama watiifu kumbe ni majambazi na waporaji,sasa hii unaweza sema polisi walimbambikia lakini inaonekana jamaa nae kabugi mahali,naona polisi wameamua tu kumshtua kama anajisahau kama na yéye mchafu vilevile.
Temea mate chini, police watanzania wanabambikiza vijana wetu baghi kila siku mitaani sembuse bastola na pingu, weeh acha bana.

Kaulizie kule Moshi walimfanya nini Imrani KOMBE....ACHA KABISA
 
NO COMMENT! Unapoingia katika vita dhidi ya ufisadi, inatakiwa ujichunge sana ili wabaya wako wasichukue point. Nadhani jamaa alifikiri TZ ni nchi ya walokole.
 
Temea mate chini, police watanzania wanabambikiza vijana wetu baghi kila siku mitaani sembuse bastola na pingu, weeh acha bana.

Kaulizie kule Moshi walimfanya nini Imrani KOMBE....ACHA KABISA
Najua kuhusu hilo lakini sikiliza maelezo kova aliyotoa hivyo vitu kakutwa navyo na kakiri ni vyake,sio kilakitu unangangania polisi kubambikia sikiliza tena kova anasema nini sio unakurupuka tu.na maelezo ya jamaa alieombwa rushwa nikwamba Jerry alimtisha na bastola na pingu.

Jerry mwandishi wa habari pingu na bastola vyanini, pingu haziuzwi popote bongo bastola sawa waweza sema ulinzi wake haya risiti hana na imekutwa loaded.
 
Hili Jambo ni nyeti sana, sasa naanza kupata picha kama huyu jamaa anamiliki pingu na bastola ambazo bila risiti (Sasa sijui kama pingu ndiyo haina risiti au bastola au vyote hapo Kova sijampata) huenda huyu jamaa... basi niachie hapo mwenye akili atajua nataka kuongea nini?, Maana hawa jamaa huwa hawajuani ati, sasa wakigongana na mlio ukatoka kwa nguvu watu wakausikia basi wanapiganapiagana hadharani kizushi then jiii!!!!!!!!. Hashtakiwi mtu hapo "Quote" my post
 
najua kuhusu hilo lakini sikiliza maelezo kova aliyotoa hivyo vitu kakutwa navyo na kakiri ni vyake,sio kilakitu unangangania polisi kubambikia sikiliza tena kova anasema nini sio unakurupuka tu.na maelezo ya jamaa alieombwa rushwa nikwamba jerry alimtisha na bastola na pingu,jerry mwandishi wa habari pingu na bastola vyanini,pingu haziuzwi popote bongo bastola sawa waweza sema ulinzi wake haya risiti hana na imekutwa loaded.
pole, kwani asemacho polisi ni mwisho wa utetezi, ama ni sahihi.

sakata la kombe tuliambiwa na IGP kuwa alihisiwa jambazi...mmh jambazi lililoiba gari, ati polisi hawamjui mkurugenzi wa usalama.

Zombe na wenzake walituambia waliwauwa majambazi kule sinza kwenye mapambano, wakati jaji anawasubiri wauaji...polisi...Polisi hawaaminiki hata chembe, wauaji sana. wasingiziaji sana.
 
hii imekaa vibaya, nona sasa jeshi la pilisi lipo tayari kurudisha kisasi kwa jamaa, na tusipo mpigania JM anaweza akapotezwa
 
Jerry -

Kama upo jamvini au una mwakilishi wako hebu tupatie the "other side of the story"
-?
 
Hivi jamani......kweli inakujia akilini mtu amakutwa na bastola iko full hana risiti alafu akaachiwa kweli kwa dhamana ya kujizamini mwenyewe???? labda hizo stori wapelekwe watoto wa chekechea hata mtua asie enda darasani hatawaelewa?????
 
Hivi jamani......kweli inakujia akilini mtu amakutwa na bastola iko full hana risiti alafu akaachiwa kweli kwa dhamana ya kujizamini mwenyewe???? labda hizo stori wapelekwe watoto wa chekechea hata mtua asie enda darasani hatawaelewa?????
umefikiri kwa kina mkuu , respect kwako. kweli ukamatwe na bastola imejaa risasi na pingu....wakuache kwa dhamana , bila kulala ndani.
jamani ...hebu tufungue akili, na tufunguke akili.mbuzi huyu anataka kuuzwa ndani ya gunia.
ama kweli kua uyaone.
 
pole, kwani asemacho polisi ni mwisho wa utetezi, ama ni sahihi.
sakata la kombe tuliambiwa na IGP kuwa alihisiwa jambazi...mmh jambazi lililoiba gari, ati polisi hawamjui mkurugenzi wa usalama.
Zombe na wenzake walituambia waliwauwa majambazi kule sinza kwenye mapambano, wakati jaji anawasubiri wauaji...polisi...Polisi hawaaminiki hata chembe, wauaji sana. wasingiziaji sana.
bro jerry mtu mdogo sana kufananisha na kesi ya kombe,jerry ni mwandishi wa habari kijana tu,kwa ninavyoijua bongo mimi,sawa inaweza kuwa polisi walimbambikia lakini inaonekana hata yeye alishaingia kingi mil 10 za chapchap kijana yeyote ofisi yeyote bongo haziachi mzee,haya licha ya mambo ya rushwa vitu alivyokamatwa navyo ndio msala zaidi,na sidhani kama mtu anaweza kubambikiwa kisha kutishwa asitoe ukweli hasa kwa mwandishi wa habari,anyway story yote ni kizungumkuti tu,mi nataka na yeye atoe maelezo yake tusikie,lakini kaambiwa hatakiwi kusema chochote na kakubali,ndo mana nasema kuna mahali muro atakua kakosea na ndio maana kakaa kimya atherwise tungesikia mengine kabisa.
 
hili jambo ni nyeti sana, sasa naanza kupata picha kama huyu jamaa anamiliki pingu na bastola ambazo bila risiti (sasa sijui kama pingu ndiyo haina risiti au bastola au vyote hapo kova sijampata) huenda huyu jamaa... Basi niachie hapo mwenye akili atajua nataka kuongea nini?, maana hawa jamaa huwa hawajuani ati, sasa wakigongana na mlio ukatoka kwa nguvu watu wakausikia basi wanapiganapiagana hadharani kizushi then jiii!!!!!!!!. Hashtakiwi mtu hapo "quote" my post

tiss (100%)
 
hii imekaa vibaya, nona sasa jeshi la pilisi lipo tayari kurudisha kisasi kwa jamaa, na tusipo mpigania JM anaweza akapotezwa

Kabisa naungan na wewe, kwanza bado najiuliza kwanini gari lake lilindwe na askari likiwa kituoni??? pili ile funguo yake mbona ilipotea ktk mazingira yasio eleweka halafu baada ya kupiga cm kwao aletewe funguo nyingine ile ikaonekana ilikwenda wapi??
Kweli polisi wamechemka wajipange upya tena
 
bro jerry mtu mdogo sana kufananisha na kesi ya kombe,jerry ni mwandishi wa habari kijana tu,kwa ninavyoijua bongo mimi,sawa inaweza kuwa polisi walimbambikia lakini inaonekana hata yeye alishaingia kingi mil 10 za chapchap kijana yeyote ofisi yeyote bongo haziachi mzee,haya licha ya mambo ya rushwa vitu alivyokamatwa navyo ndio msala zaidi,na sidhani kama mtu anaweza kubambikiwa kisha kutishwa asitoe ukweli hasa kwa mwandishi wa habari,anyway story yote ni kizungumkuti tu,mi nataka na yeye atoe maelezo yake tusikie,lakini kaambiwa hatakiwi kusema chochote na kakubali,ndo mana nasema kuna mahali muro atakua kakosea na ndio maana kakaa kimya atherwise tungesikia mengine kabisa.
anaweza kuwa na umri mdogo, lakini akatenda kuliko mizee yenye umri wa baba yake, nani kakwambia uzee ndio utenda kazi, mbona tunamjadili huyu kijana, ujue ni ICON, kumbuka Biko alikufa akiwa na miaka 35 nakumbuka, lakini anaheshimika kule kwa madiba sambamba na kina Walter Sisulu, Oliver Tambo....

Babukijana nani alikwambia polisi wanakuacha bila upelelezi ukikamatwa na silaha isiyo na maelezo wala uhalali ikiwa imejaa risasi, hapohapo ukiwa na pingu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom