Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,708
- 12,789
Yaani mwenyewe nimenyoosha mikonoIla tuache utani Hicho kikosi cha anga cha Israel ni balaa, yani ghorofa imeshushwa utadhani ilijengwa na matope
Yaani mwenyewe nimenyoosha mikonoIla tuache utani Hicho kikosi cha anga cha Israel ni balaa, yani ghorofa imeshushwa utadhani ilijengwa na matope
Ila tuache utani Hicho kikosi cha anga cha Israel ni balaa, yani ghorofa imeshushwa utadhani ilijengwa na matope
Kutumia kufyatulia mabovu ndo' shughuli yenyewe hiyo.Israel inashambulia majengo marefu sio kwasababu ya Hamas kufanyia shuglizao, bali Hamas wanatumia majengo hayo marefu kufyatulia makombora yanayotua kwenye miji mikubwa ya Israel
The best comment ever,We mkenya hiv una akili kwel..hakuna bomu la kutupwa na ndege linaweza shusha hilo jengo kwa namna hiyo..hilo jengo limekua demolished kwa...kabomu kajuu ni ka kuzugia tu...na ndo kilichofanyika hata 11/9...na ndomana siajabu watu wa humo waliambiwa watoke kwenye hilo jengo....kinachofanyika ni kwenye foundation ya hilo jengo vinawekwa vilipuzi kwa mshazali..yaan kwenye slope. Vinachimbiwa kwenye nguzo zinazoshikilia jengo halaf vinalipuliwa....kama kombora la juu ungeona uharibifu unaanzia juu..punk
Iran ana nini mpaka dunia isimame? Vikombora wLivyonavyo wenzao walikuwa nayo tokea vita ya pili ya dunia.Vita kati ya Israel na Iran ni Vita ambayo haitatokea na ikitokea dunia itasimama
Wewe huna ujualo. Inamaana wanajeshi wa Israeli walienda kwenye hilo jengo ndo wakaweka hivyo vilipuzi sio?We mkenya hiv una akili kwel..hakuna bomu la kutupwa na ndege linaweza shusha hilo jengo kwa namna hiyo..hilo jengo limekua demolished kwa...kabomu kajuu ni ka kuzugia tu...na ndo kilichofanyika hata 11/9...na ndomana siajabu watu wa humo waliambiwa watoke kwenye hilo jengo....kinachofanyika ni kwenye foundation ya hilo jengo vinawekwa vilipuzi kwa mshazali..yaan kwenye slope. Vinachimbiwa kwenye nguzo zinazoshikilia jengo halaf vinalipuliwa....kama kombora la juu ungeona uharibifu unaanzia juu..punk
Waarabu weusi mnajua kujitapa kweli kweli lakini kichwani akili matopeUkiona muisrael anapiga majengo ujue anakaribia kushindwa manake haelewi anashambuliwa kutokea wapi akipiga jengo hili shambulizi linatokea upande mwengine anapiga jengo hili anapata pigo na pia taarifa inatolewa kwa uongo huko Israel uharibifu ni mkubwa na waliokufa wanakaribia kuwa sawa na Palestine safari hii haaamini macho yake jinsi anavofanyiziwa na waarabu analiwa kiboga na km mwanaume kweli au ana jeshi imara atoke wapigane vita ardhini km hawarudi marekani kuomba hifadhi burukenge hawa!!
Hahaha.. Chunguza vizuri,We mkenya hiv una akili kwel..hakuna bomu la kutupwa na ndege linaweza shusha hilo jengo kwa namna hiyo..hilo jengo limekua demolished kwa...kabomu kajuu ni ka kuzugia tu...na ndo kilichofanyika hata 11/9...na ndomana siajabu watu wa humo waliambiwa watoke kwenye hilo jengo....kinachofanyika ni kwenye foundation ya hilo jengo vinawekwa vilipuzi kwa mshazali..yaan kwenye slope. Vinachimbiwa kwenye nguzo zinazoshikilia jengo halaf vinalipuliwa....kama kombora la juu ungeona uharibifu unaanzia juu..punk
Nikishaona akil ndogo huwa hata sjarib kukuelewesha....na ndomana hilo jengo limeanguka vertical.Wewe huna ujualo. Inamaana wanajeshi wa Israeli walienda kwenye hilo jengo ndo wakaweka hivyo vilipuzi sio?
Mapema sanaaWewe huna ujualo. Inamaana wanajeshi wa Israeli walienda kwenye hilo jengo ndo wakaweka hivyo vilipuzi sio?
Ndo nakwambia sasa jengo linalopigwa na missile kutoka juu huwa halianguki vertical kama hilo...ni mambo ya kitaalam zaid unaweza usielewe...niishie hapa..Hahaha.. Chunguza vizuri,
Yani huo muda wa kuanza kuchimbia vitu chini ya nguzo wanautoa wapi?
Unaona kabisa hata waandishi wa habari hawajapewa hata muda wakutoa vitu vyao zaidi wao tu alafu wewe unasema kuchimbia vitu kwenye nguzo?
Watu wapo serious mkuu.
Kuna jengo lilishushwa juzi nalo ilikuwa live, Israel ilirusha vikombora kama vi 3 hivi kwa pembeni ili kuwaonya watu watoke ndani na mtangazaji wa bbc akawa anasema hayo makombora ni ya maonyo na kiashiria kwamba hilo jengo baada ya muda mfupi kitashushwa na kweli dakika 3 au 5 baadae yakatupwa makombora 2 yaliyofanya lile jengo lishuke kama matope tu.
Wewe umekariri sana!Ndo nakwambia sasa jengo linalopigwa na missile kutoka juu huwa halianguki vertical kama hilo...ni mambo ya kitaalam zaid unaweza usielewe...niishie hapa..
Kumbuka USA wanasema Alazeera is a terrorist news organization.Ila hapa muisrael amechemka unaachaje kupambana na hamas unapiga tu majengo ya vyombo vya habari